joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Then ukaishia wapi,mimi nimeingia mara mbili shirikisho nikavuka mpaka fainali na champions nikaishia robo, vip wewe na hizo mara zako zote uliishia wapi?Utofauti ni kwamba Yanga haina rekodi ya kufika robo fainali michuano mara 6 mfululizo ndani ya misimu saba.