Yanga ni mwakambwembwe hawawezi kuwa makarobo

Yanga ni mwakambwembwe hawawezi kuwa makarobo

Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
1993 hakukua na mashindano yanayoitwa caf confederation
Yameanza 2004
Ww ulicheza fainali ya kombe gani hiyo 94?
 
Acha kudanganywa hiyo Link ya wikipedia mtu yyt anaweza kuandika na kuedit chochote
Kumbe naongea na vilaza wa soka. Endelea na ubishi wako. Mimi nakuelezea kitu nilichoshuhudia halafu wewe unabisha. Haya endelea na ubishi wako ili ushibishe nafasi yako. Vijana mliozaliwa mwaka 2000 taabu kwelikweli.
 
Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
In 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.
 
Kumbe naongea na vilaza wa soka. Endelea na ubishi wako. Mimi nakuelezea kitu nilichoshuhudia halafu wewe unabisha. Haya endelea na ubishi wako ili ushibishe nafasi yako. Vijana mliozaliwa mwaka 2000 taabu kwelikweli.
Onyesha hiyo medali 😀😀😀 Nimesoma Link yote sijaona neno 5imba 😀
 
Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
Uongo
Narudia tena 93 hakukua na caf confederation cup
Confederation cup ilianzishwa baada ya kuunganisha mashindano mawili tofauti
Hizo habari za kubadilishwa jina unazijua wewe
 

Attachments

  • Screenshot_20250113-111305.png
    Screenshot_20250113-111305.png
    251 KB · Views: 4
In 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.
Kolo anakuambia limebadilishwa jina na kuitwa confederation
 
In 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.
Maana ya "merged' ndiyo nini. Kwa mfano hayo yaliyokuwa "Merged" hadhi yake ilikuwaje?
 
Hizi ni koo mbili tofauti kabisa zenye vipawa visivyolingana kabisa.

Ukitaka kuwa maarufu bila ya umaarufu, nenda Yanga ukasifiwe hadi ujione wewe ndiyo wewe.

Ukienda Simba utapata mafanikio bila ya makele. Simba ni timu ya watu wasiojisifu.

Yanga wana mbwembwe Sana, nakumbuka miaka ya tisini mwishoni na Elfu mbili mwanzoni Yanga walipokuwa wanajiita "wa kimataifa" kisa kucheza hatua ya makundi michuano ya CAF.

Sasa leo kila timu wanayocheza nayo ni ngumu ila timu zoote zinazocheza na Simba ndiyo mbovu. Hizi mbwembwe ndizo zinaitofautisha Simba na Yanga.

Tusubiri tuone kama watabakia kwenye ukoo wao wa Mwakambwembwe ama wataunga ukoo na Simba na kuwa kina Mwakarobo.
Nyie na sie ni tofauti, wewe shirikisho ,club bingwa unaishia robo.
 
Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
Uwongo,kombe la shirikisho mwaka 1993 final ilikua al ahly na african sports, ahly alishinda 3-1
 
Back
Top Bottom