Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
1993 hakukua na mashindano yanayoitwa caf confederation
Yameanza 2004
Ww ulicheza fainali ya kombe gani hiyo 94?