1993 hakukua na mashindano yanayoitwa caf confederation
Yameanza 2004
Ww ulicheza fainali ya kombe gani hiyo 94?
Kumbe naongea na vilaza wa soka. Endelea na ubishi wako. Mimi nakuelezea kitu nilichoshuhudia halafu wewe unabisha. Haya endelea na ubishi wako ili ushibishe nafasi yako. Vijana mliozaliwa mwaka 2000 taabu kwelikweli.Acha kudanganywa hiyo Link ya wikipedia mtu yyt anaweza kuandika na kuedit chochote
In 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
Onyesha hiyo medali 😀😀😀 Nimesoma Link yote sijaona neno 5imba 😀Kumbe naongea na vilaza wa soka. Endelea na ubishi wako. Mimi nakuelezea kitu nilichoshuhudia halafu wewe unabisha. Haya endelea na ubishi wako ili ushibishe nafasi yako. Vijana mliozaliwa mwaka 2000 taabu kwelikweli.
Labda anataka kujisifu kwa kipini Camara kuitwa Mara tatu.Wajisifu kwa lipi? Miaka minne mfululizo YANGA BINGWA, kuanzia Ligi, FA, ngao, tunakupiga nje ndani, alafu unataka ujisifu kwa lipi sasa? 😀
😂😂😂Labda anataka kujisifu kwa kipini Camara kuitwa Mara tatu.
UongoUmeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
Kolo anakuambia limebadilishwa jina na kuitwa confederationIn 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.
Maana ya "merged' ndiyo nini. Kwa mfano hayo yaliyokuwa "Merged" hadhi yake ilikuwaje?In 2004, CAF merged the African Cup Winners' Cup created in 1975 with the CAF Cup introduced in 1992 to form a new competition called the Confederation Cup, which has since become the secondary African club competition. Tuanzie hapa, tutajua kama CAF Cup ndio CAF Confederation Cup.
Lile Kombe la Abiola ndo ulinganishe na hili?Alishafika tayari, wakati huo wewe ulikuwa ukinyonya maziwa, hivyo huwezi kwa na kumbukumbu kuhusu Simba na Stella Abdjan.
Haya chukua ushindi ufurahi, maana umezoea kubishana.Lile Kombe la Abiola ndo ulinganishe na hili?
CAF Cup ilidhaminiwa na Tajiri wa Nigeria akiitwa Abiola ambalo Simba alifika fainali na Stella Abijan.Maana ya "merged' ndiyo nini. Kwa mfano hayo yaliyokuwa "Merged" hadhi yake ilikuwaje?
Nyie na sie ni tofauti, wewe shirikisho ,club bingwa unaishia robo.Hizi ni koo mbili tofauti kabisa zenye vipawa visivyolingana kabisa.
Ukitaka kuwa maarufu bila ya umaarufu, nenda Yanga ukasifiwe hadi ujione wewe ndiyo wewe.
Ukienda Simba utapata mafanikio bila ya makele. Simba ni timu ya watu wasiojisifu.
Yanga wana mbwembwe Sana, nakumbuka miaka ya tisini mwishoni na Elfu mbili mwanzoni Yanga walipokuwa wanajiita "wa kimataifa" kisa kucheza hatua ya makundi michuano ya CAF.
Sasa leo kila timu wanayocheza nayo ni ngumu ila timu zoote zinazocheza na Simba ndiyo mbovu. Hizi mbwembwe ndizo zinaitofautisha Simba na Yanga.
Tusubiri tuone kama watabakia kwenye ukoo wao wa Mwakambwembwe ama wataunga ukoo na Simba na kuwa kina Mwakarobo.
Mbumbumbu mnapenda kujifurahisha sana.Ndio maana nasema enzi hizo mlikuwa mkinyonya maziwa. Hamuwezi kuwa na kumbukumbu kamili. Hebu tembelea hii link 1993 CAF Cup - Wikipedia
Kituo kinachofuata machinjio ya kwa MkapaJana kafungwa Ibenge maumivu yapo kwa Mbumbumbu.
Acha ujinga dogo. Ushabiki maandazi usikufanye kuwa msukule.Mbumbumbu mnapenda kujifurahisha sana.
........Fainali mliyofika ni hayo ZNZ kwenye mapinduzi Cup.
Simba hajawahi fika shirikisho final,acha uwongoAlishafika tayari, wakati huo wewe ulikuwa ukinyonya maziwa, hivyo huwezi kwa na kumbukumbu kuhusu Simba na Stella Abdjan.
Uwongo,kombe la shirikisho mwaka 1993 final ilikua al ahly na african sports, ahly alishinda 3-1Umeamua kuanzisha league ya mabishano, mimi huko siko. Enzi hizo yaliitwa CAF cup, kwa kiswahili kombe la washindi barani Africa. Kilichofanyika huo mwaka unaosema ni ubatizo tu wa kubadilisha jina na kuyaita kombe la shirikisho, lakini mashindano ni yaleyale. Hutaki acha.
Utofauti ni kwamba Yanga haina rekodi ya kufika robo fainali michuano ya CAF mara 6 mfululizo ndani ya misimu saba.Nyie na sie ni tofauti, wewe shirikisho ,club bingwa unaishia robo.