injinia ndo anasajili. daah yanga ina vituko, injinia na soka wapi na wapiWapo wapo
GSM ndio kila kitu
Mall na soka wapi na wapi
Na hilo haliwezekaniWakifanya hivi itakuwa vigumu kumhusisha kocha na matokeo mabaya ya club kwenye mashindano. Mashabiki walikuwa wanamuonea bure Eymael kumpanga Yipe
hivi siku GSM wakijitoa kama walivyotaka kufanya kipindi fulani,nani atalipa hao wachezaji. wachezaji wa kigeni nao wawe wanaelewa vizuri legal stutus na financial capacity ya kampuni ili kujua employment risks zikojewanasaidiwa na GSM.
Sasa sijajua hao wachezaji walipendekezwa na kocha,Gsm,au viongozi wa yanga.
Ngoja tuone mwisho wao.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
hivi siku GSM wakijitoa kama walivyotaka kufanya kipindi fulani,nani atalipa hao wachezaji. wachezaji wa kigeni nao wawe wanaelewa vizuri legal stutus na financial capacity ya kampuni ili kujua employment risks zikoje
Eymael aliwapaga list ya wachezaji anaowataka, ndo hao wanaowasajiliWakifanya hivi itakuwa vigumu kumhusisha kocha na matokeo mabaya ya club kwenye mashindano. Mashabiki walikuwa wanamuonea bure Eymael kumpanga Yipe
Hii inaapply hata kwa simba, MO akijitoa tu kama alivyotakaga kufanya kwishneyhivi siku GSM wakijitoa kama walivyotaka kufanya kipindi fulani,nani atalipa hao wachezaji. wachezaji wa kigeni nao wawe wanaelewa vizuri legal stutus na financial capacity ya kampuni ili kujua employment risks zikoje
akaongoze mpira kwao Somalia huyu
Mo alijitoaje?yule ni shareholder na alisema angeendelea kuwajibika kama mwana hisa. Tatizo huelewi kituHii inaapply hata kwa simba, MO akijitoa tu kama alivyotakaga kufanya kwishney