1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
ngoja wabadilishe mfumo, [emoji3]Yanga wakipunguza uswahili kidogo tu watafikia malengo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja wabadilishe mfumo, [emoji3]Yanga wakipunguza uswahili kidogo tu watafikia malengo
Kweli
Yule ni Simba damu anawachoresha tu wananchiProf. Msolla sijui anakwama wapi
kama ni hivyo matumizi ya hao wachezaji uwanjani yeye ndiye ambaye anayajuwa, sio kocha mwingine. Wako mafundi ujenzi wanaojuwa kujengea yale mawe yaliyoachwa na mafundi washi wengine. Jicho la eymael kwa mchezaji nitofauti na jicho la Aussems kwa mchezaji huyohuyo. Na huo ndio utakuwa mwanzo wa ugomvi kati ya kocha ajae na viongozi wa club waliowasajili wachezaji pale kocha atakapoacha kumpanga mchezajiEymael aliwapaga list ya wachezaji anaowataka, ndo hao wanaowasajili
Hiyo haitoshi kuwa hoja ya msingi kwenye hili, kwani timu haina kocha mkuu kipindi kama hiki ni swali linalopaswa kujibiwa na Msolla pia. Msolla kumsajilia wachezaji kocha anayekuja kutakuwa na mgogoro wa conflict of interest ya Msolla kwa kocha ajae na wachezaji, pale kocha ajaye atakaposhindwa kuwatumia baadhi ya wachezaji wa Msolla.Msijitie ujuaji, hata ukiajili kocha mkuu sasa hivi hiyo scouting atafanya saa ngapi? Ligi imeisha tathmini ndiyo inayofanyiwa kazi! Usisahau Msolla naye ni kocha professionally!
alishawaambia kuwa 20b zinatosha kuanzisha bankMO kunamajukumu mengi anayafanya Kama mshabiki wa Simba au kwa makubaliano maalum na uongizi uliopo madarakani kwa sasa.mfano usajiri,posho, bonas, mishahara n.k Tuchukulie MO hajitoi, anabaki Kama Share holder ajihusishi na Mambo yaliyofanywa nje ya mkataba wake yanayo husu mishahara, bonas, usajili n.k
Simba Kama klabu/kampuni ina bishara gani ambayo itaweza kuingiaza faida ambayo wataweza kugawa na shareholder wake? Mnapoitwa Wana Simba mbumbumbu si uongo ni uhalisia.
Majengo yote na Mali zote za Simba ambazo haziamishiki thamani yake hazizidi bilioni 4 alafu Mwekezaji aweke bilioni 20 ivi mnamwona MO mbumbumbu mwenzenu!!.
Gharama alizotumia MO mbaka sasa zinatosha kuwaambia Simba ni Mali yake. Uzuri wa awajamaa kila fedha anayokupa anaiwekea kumbukumbu. Nijambo la muda tu pale MO atakapo itaka Timu yake aibadili iwe ya kriket
au arudishiwe gharama alizotumia ku wakopesha kwa makubaliano maalum ambayo viongozi wanayafahamu uku wanachama hawayafahamu.
Mkwasa ni kocha mzuri lakini ana hasira za hovyo, hivyo ni kocha mzuri kwa wachezaji wenye njaa tu basi.Shida ya Yanga sio kwenye kusajili wachezaji, Bali kwenye kumsajili kocha.
Nawashauri Yanga sajilini Wachezaji mnaowaona wanafaa ila pia mtafute kocha anayeijua falsafa ya timu kama Mkwasa.
ukitaka uone MO ni nani wacha Simba otolewe tena mechi ya kwanza tu ya club bingwa. Tuombe Mungu ile pilizapuliza ya kwenye vyumba vya kubadilishia nguo ikomeshwe.Hawawezi kukuelewa mkuu coz wanaendekeza sana ushabiki kuliko uhalisia. Pale simba bado hakuna mfumo wa kusustain timu, bado wanategemea hisani ya MO, siku akijiondoa tu timu nzima chalii. Na hao mapro wao wa bei mbaya hao watakoma kuwalipa.
Na sijui kama bado ana muda mrefu wa kuendelea kutoa pesa zake kwa hasara. MO huwa yuko smart sana kichwani kulinda cashflow ya biashara, sijui kama ataendelea tu kutoa pesa zake ilihali kinachoingia hakilingani na anachotoa.
Kocha ambaye hajaona ligi yetu bado hataweza kuchagua wachezaji wazuri. Kwavile hajapatikana na muda unaenda wacha tu wamsajilie. Mchezaji mzuri ni mzuri tu hata kwa kocha yupi, mifumo ya uchezaji tu ndo inawapaga shida kidogo lakini baadae mambo yanakuwa mazuri tu. Si unaona pale msimbazi kishingo anapeta tu wakati kawakuta wachezaji wote. Kinachowasaidia waliweza kusajili wachezaji wazuri ndo maana wanafundishika kirahisi. Sasa hawa kina Yirpe, Molinga, Tariq hata ufundisheje ndo uwezo wao ulipoishia hapo, teh!Hiyo haitoshi kuwa hoja ya msingi kwenye hili, kwani timu haina kocha mkuu kipindi kama hiki ni swali linalopaswa kujibiwa na Msolla pia. Msolla kumsajilia wachezaji kocha anayekuja kutakuwa na mgogoro wa conflict of interest ya Msolla kwa kocha ajae na wachezaji, pale kocha ajaye atakaposhindwa kuwatumia baadhi ya wachezaji wa Msolla.
Ishu ya simba kupeta ziko factors nyingi zikiwemo za marefa, ratiba na |"pulizapuliza" ya kwenye vyumba. Lakini Yanga haikutakiwa kuhamaki kiasi kile kwa matamshi ya Luc. Angeweza kupewa tu adhabu za kimpirampira ili ajutie kosa lake kwakuwa hakuvunja sheria yoyote ya nchi. Viongozi walitakiwa kujua kuwa muda wa usajili ulikuwa umekaribia kabla ya kuwafukuza makocha. Viongozi wa Timu kuwa na taaluma ya ukocha ndio sehemu ya tatizo Yanga, hata Zahera alishawahi kulalamika kuhusu hili.Kocha ambaye hajaona ligi yetu bado hataweza kuchagua wachezaji wazuri. Kwavile hajapatikana na muda unaenda wacha tu wamsajilie. Mchezaji mzuri ni mzuri tu hata kwa kocha yupi, mifumo ya uchezaji tu ndo inawapaga shida kidogo lakini baadae mambo yanakuwa mazuri tu. Si unaona pale msimbazi kishingo anapeta tu wakati kawakuta wachezaji wote. Kinachowasaidia waliweza kusajili wachezaji wazuri ndo maana wanafundishika kirahisi. Sasa hawa kina Yirpe, Molinga, Tariq hata ufundisheje ndo uwezo wao ulipoishia hapo, teh!
Mashabiki wa yanga hawakuridhika na kiwango cha Eymael, so lilikuwa suala la muda tu kuondoka pale. Kifupi alivitoa tu matusi ndo kawasaidia kumuondoa mapemaIshu ya simba kupeta ziko factors nyingi zikiwemo za marefa, ratiba na |"pulizapuliza" ya kwenye vyumba. Lakini Yanga haikutakiwa kuhamaki kiasi kile kwa matamshi ya Luc. Angeweza kupewa tu adhabu za kimpirampira ili ajutie kosa lake kwakuwa hakuvunja sheria yoyote ya nchi. Viongozi walitakiwa kujua kuwa muda wa usajili ulikuwa umekaribia kabla ya kuwafukuza makocha. Viongozi wa Timu kuwa na taaluma ya ukocha ndio sehemu ya tatizo Yanga, hata Zahera alishawahi kulalamika kuhusu hili.
Hata akina Balinya, Molinga, Bigrimana, Yikpe, shikalo, sebonama, nk hawakuwa wabaya wakati wanasajiliwa lakini Mkwasa na Eymail walishindwa kuwatumia na kuleta matokeo
mbona alivyokuja walisema ni kocha wa mataji. Robo msimu huwezi kujua kocha ni mzuri au ni mbayaMashabiki wa yanga hawakuridhika na kiwango cha Eymael, so lilikuwa suala la muda tu kuondoka pale. Kifupi alivitoa tu matusi ndo kawasaidia kumuondoa mapema
Mmh kocha wa mataji bila kikosi imara. Wenye akili tulijua hizi mbwembwe tumbona alivyokuja walisema ni kocha wa mataji. Robo msimu huwezi kujua kocha ni mzuri au ni mbaya
Hela ile ya GSM wangempatia zahera angepata matokeo kwa wachezaji haohao inaowafukuza leo. Shida kubwa pale hata kwa kocha atakaeletwa ni Msolla na Mkwasa kuwa na taaluma ya ukocha pia. Wanaingilia falsafa/philosophy ya kocha mgeni.Mmh kocha wa mataji bila kikosi imara. Wenye akili tulijua hizi mbwembwe tu
Mmh hapana, shida kubwa pale ni wachezaji, hawakuwa na viwango vya kuchezea yanga. Tukiacha ushabiki simba ana kikosi bora, ndo maana kila kocha anayeletwa anapata matokeo. Kocha huyo huyo ukimwamishia yanga kuwakochi kina Yipe, Molinga, Tariq n.k anachemsha mbaya.Hela ile ya GSM wangempatia zahera angepata matokeo kwa wachezaji haohao inaowafukuza leo. Shida kubwa pale hata kwa kocha atakaeletwa ni Msolla na Mkwasa kuwa na taaluma ya ukocha pia. Wanaingilia falsafa/philosophy ya kocha mgeni.