Yanga ni timu ya kuogopwa, Benard Morrison yupo Ken Gold, Djuma Shaban atupiwa virago Namungo FC

Yanga ni timu ya kuogopwa, Benard Morrison yupo Ken Gold, Djuma Shaban atupiwa virago Namungo FC

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Katoka AS vita katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba, wanemtupia virago, wanadai uwezo wake ndogo ,huyo ni Djuma Shaban, hana timu ya kucheza kwa sasa.

Kwingineko Benard Morisson ametua KenGold timu inayoekekea kushuka daraja

Majini is real
 
Huyo Bernard Morrison alienda Far Rabat nadhani ni mapenzi yake kuamua kurudi TZ, Hujamtaja Lomalisa aliyepo Sagrada Esparanca, Moloko yupo Iraq

Kumbukumbu zangu zinaniambia Ndemla aliwahi kupata timu Sweden alipigwa wenge moja matata na sasa yupo JKT
 
Katoka AS vitta katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba,wanemtupia virago,wanadai uwezo wake ndogo,huyo ni Djuma Shaban,hana timu ya kucheza kwa sasa.

Kwingineko Benard Morisson ametua KenGold timu inayoekekea kushuka daraja

Majini is real
Kusaini kuchezea yanga ni kukubali kufika mwisho wa career yako ama ukubali kustaafia yanga.
Huwezi kutoka yanga ukiwa kwenye kiwango kuzuri na wakakuacha salama.
Wana mfumo wa ki iluminat,unatupiwa majini na kufanyiwa kila aina ya fitna.
Utapambana sana kurudi kwenye kiwango,hadi ukawapigie magoti washenzi wale

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Katoka AS vitta katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba,wanemtupia virago,wanadai uwezo wake ndogo,huyo ni Djuma Shaban,hana timu ya kucheza kwa sasa.

Kwingineko Benard Morisson ametua KenGold timu inayoekekea kushuka daraja

Majini is real
Maisha ni kokote,Mayele Yuko wapi,lomalisa je? Tusijenge hofu kwa kufeli kwa wachezaji wawili tu
 
Kusaini kuchezea yanga ni kukubali kufika mwisho wa career yako ama ukubali kustaafia yanga.
Huwezi kutoka yanga ukiwa kwenye kiwango kuzuri na wakakuacha salama.
Wana mfumo wa ki iluminat,unatupiwa majini na kufanyiwa kila aina ya fitna.
Utapambana sana kurudi kwenye kiwango,hadi ukawapigie magoti washenzi wale

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Akina Nonda Shaaban waliondoka Yanga na wakaendelea kufanya vizuri kabisa. Huyu Shaaban Dyuma akiwa Yanga tayari alikuwa na kitambi, mpira ulikuwa unaenda ukingoni.
 
Kusaini kuchezea yanga ni kukubali kufika mwisho wa career yako ama ukubali kustaafia yanga.
Huwezi kutoka yanga ukiwa kwenye kiwango kuzuri na wakakuacha salama.
Wana mfumo wa ki iluminat,unatupiwa majini na kufanyiwa kila aina ya fitna.
Utapambana sana kurudi kwenye kiwango,hadi ukawapigie magoti washenzi wale

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kagere alitokea timu gani?? Onyango, Ajibu, kichuya??
 
Peter Banda, Duncan Nyoni, Aubin Kramo, Said Ntibanzonkiza, Beno Kakolanya, Israel Mwenda, Ajib, Gadiel Michael e.t.c
#nikae kimya tu
 
Huyo Bernard Morrison alienda Far Rabat nadhani ni mapenzi yake kuamua kurudi TZ, Hujamtaja Lomalisa aliyepo Sagrada Esparanca, Moloko yupo Iraq

Kumbukumbu zangu zinaniambia Ndemla aliwahi kupata timu Sweden alipigwa wenge moja matata na sasa yupo JKT
Ndemla hana uwezo jamani. Mbona alikuwa wakawaida hata kipindi yupo mikia. Namba hakuwa akipata
 
Katoka AS vitta katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba,wanemtupia virago,wanadai uwezo wake ndogo,huyo ni Djuma Shaban,hana timu ya kucheza kwa sasa.

Kwingineko Benard Morisson ametua KenGold timu inayoekekea kushuka daraja

Majini is real
Hao wote wazee lakini mnataka kujisifu kwa ulozi🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom