Yanga ni timu ya kuogopwa, Benard Morrison yupo Ken Gold, Djuma Shaban atupiwa virago Namungo FC

Yanga ni timu ya kuogopwa, Benard Morrison yupo Ken Gold, Djuma Shaban atupiwa virago Namungo FC

Sijui ni kwanini Mashabiki wa Simba wqnaamini sana katika Mambo ya giza. Matukio mengi ya kichawi yamekuwa yakiihusisha sana Simba, kama kipindi kile kule South Africa wakiwa uwanjani wakafanya ushirikina LIVE. Na hata mind zao zinawaza tu Majini, Uchawi, ndumba nk.

Hata huyu mtoa post (Mdukuzi) content yake inamtambulisha namna anavyoyaendekeza hayo mambo
 
Peter Banda, Duncan Nyoni, Aubin Kramo, Said Ntibanzonkiza, Beno Kakolanya, Israel Mwenda, Ajib, Gadiel Michael e.t.c
#nikae kimya tu
Aubin Kramo hakucheza kabisa Simba kwa sababu aliposajiliwa wazee wa yanga waliambiwa huyu ataifanya Simba kuwa ya hatari,wazee wakammaliza mapema kabisa.
Yanga acheni kutegemea uchawi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Sijui ni kwanini Mashabiki wa Simba wqnaamini sana katika Mambo ya giza. Matukio mengi ya kichawi yamekuwa yakiihusisha sana Simba, kama kipindi kile kule South Africa wakiwa uwanjani wakafanya ushirikina LIVE. Na hata mind zao zinawaza tu Majini, Uchawi, ndumba nk.

Hata huyu mtoa post (Mdukuzi) content yake inamtambulisha namna anavyoyaendekeza hayo mambo
Yanga ndio mnaongoza kwa uchawi.
Kumbuka yanga mbovu huwa inaleta ushindani mkubwa sana kwa Simba, ila Simba wakiwa na kikosi kibovu kushindwa huwa ni hakika.
Ushahidi mwingine yanga bora ina pointi 1 kimataifa kwa sababu huku ndani ni uchawi na rushwa tu ndio vinawapandisha

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Sijui ni kwanini Mashabiki wa Simba wqnaamini sana katika Mambo ya giza. Matukio mengi ya kichawi yamekuwa yakiihusisha sana Simba, kama kipindi kile kule South Africa wakiwa uwanjani wakafanya ushirikina LIVE. Na hata mind zao zinawaza tu Majini, Uchawi, ndumba nk.

Hata huyu mtoa post (Mdukuzi) content yake inamtambulisha namna anavyoyaendekeza hayo mambo
Mayele ndio alitufumbua macho
 
Back
Top Bottom