Toa ushaidi usiwe kama shoga kubwabwaja tuHawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Wewe ni mpumbavu ni ajabu kama ni mama wa familia una uwezo mdogo kiasi hiki cha kufikiria.Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Kama ndio hivi hua tuna mulaumu Mangungu kwa kosa gani?Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Wewe Bi.Mdogo umeanza kushabikia Mpira majuzi kisa Mdangaji mwenzio Mama J kukuleta hapa JF usijione unajua sana kuliko Mabasha zako tulia. Tafuta rika lako utatobolewa kizazi.Wewe ni mpumbavu ni ajabu kama ni mama wa familia una uwezo mdogo kiasi hiki cha kufikiria.
Balinya alikuwa top scorer kaja Yanga ka flop
Yikpe kashindwa Yanga ila kwengine ana perform vizuri kabisa
Musonda aliongoza kwa magoli ila kaja Yanga ka floppy.
Ni baadhi ya wachezaji ila kuna lundo la wachezaji waliosajiliwa Yanga na wameshindwa kuwika ndani ya Yanga, Je hao wachezaji Simba ndio wametia mkono kuua viwango vyao?
Case ya Mayele haina tofauti na Konde boy au Chama, na ndivyo mpira ulivyo au unataka kusema Kondeboy mlimtupia jini ili ashindwe kuwika kule Al Ahly? Mchezaji anaweza akatamba timu fulani na kushindwa kwenye timu nyingine kutokana na factor tofauti tofauti mfano ushindani wa namba, mfumo wa timu, kushuka kiwango n.k. msiwe wapumbavu na wajinga kiasi cha kukosa akili ya kufikiria kimpira.
Kama masikhara ila ulichoandika ndo uhalisia.Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Ukicheka na NYANI UTAVUNA MABUA.Kama masikhara ila ulichoandika ndo uhalisia.
Hawawezi kukuelewa...toka Simba iachane na wazee sijui nini..wanapigwa mno na hawa vyura..ndo maana timu inaonekana inajikongoja...majini yanavunja vunja wanakosa speed... 😂 😂Ukicheka na NYANI UTAVUNA MABUA.
Ifike pahala HAWA WAFUGA MAJINI watafutiwe Ligi yao. Na itafika mahala tukiendekeza huu ujinga Wachezaji Wenye malengo watagoma kuja kwenye Ligi yetuSimba amebrand Ligi ikawa 5th kwa Ubora Afrika, halafu wanatokea Wapumbavu fulani kutoka YEMEN wanaleta MAJINI?
Shhhiiiiiiit, wamekera sana hawa Vyura.