Yanga ni timu ya kustaafisha wachezaji

Yanga ni timu ya kustaafisha wachezaji

Msuva akiwa Wydad timu ilifika final wakakuchua ubingwa tena akiwa top scorer, aliondoka wakiwa semi finals, ukitoka Samatta mchezaji gani asha fanikiwa nje ya Simba? nijibu kwanza tusifanye mambo yawe mengi , hilo kombe la shirikisho mnalo lidharau mnalo?
Utopolo sijui huwa mnafeli wapi??

Yani we unatoa mfano mmoja kwa mchezaji ambaye amepata mafanikio nje ya Yanga halafu unakuja kutaja mchezaji mmoja wa Simba aliyepata mafanikio na kusema kama kuna mwingine zaidi ya huyo nikutajie, wakati wewe umeshindwa kumtaja mwingine zaidi ya Msuva.....

Hoja ni kwamba timu yenu haina mchezaji ambaye ni Caf Champion material kwenye level za kuanzia makundi na kuendelea.

Kama mchezaji huyo yupo naomba unitajie.

Nimekupa room ya kuchagua kuanzia misimu miwili nyuma nitajie nani ambaye mlimsajili akiwa na rekodi ya kufika makundi Club Bingwa. Umeshindwa

Mi nakupa jibu

Mchezaji mliyenaye mwenye mafanikio ya kuanzia hatua ya makundi Club Bingwa ni Mkude peke yake ambaye wote tunajua ametokea wapi.
 
Kumbe ww mnyama? Basi kaa kwa kutulia...hapa nitaandika majini fc mpk mwakani...ndo kwaanza feb...
Ukipata upenyo utumie...mbona wao waliandika mpk mabango ya 5 kwa 1...ww niache waza uwazavyo siko hapa kukuprove chochote...kuhusu shemeji yako utampigia ujue hali yake...
[emoji1666][emoji1666]
 
Utopolo sijui huwa mnafeli wapi??

Yani we unatoa mfano mmoja kwa mchezaji ambaye amepata mafanikio nje ya Yanga halafu unakuja kutaja mchezaji mmoja wa Simba aliyepata mafanikio na kusema kama kuna mwingine zaidi ya huyo nikutajie, wakati wewe umeshindwa kumtaja mwingine zaidi ya Msuva.....

Hoja ni kwamba timu yenu haina mchezaji ambaye ni Caf Champion material kwenye level za kuanzia makundi na kuendelea.

Kama mchezaji huyo yupo naomba unitajie.

Nimekupa room ya kuchagua kuanzia misimu miwili nyuma nitajie nani ambaye mlimsajili akiwa na rekodi ya kufika makundi Club Bingwa. Umeshindwa

Mi nakupa jibu

Mchezaji mliyenaye mwenye mafanikio ya kuanzia hatua ya makundi Club Bingwa ni Mkude peke yake ambaye wote tunajua ametokea wapi.
Hahahahaha...ngoja nione watanzania wakiwa ktk ubora wao
 
Utopolo sijui huwa mnafeli wapi??

Yani we unatoa mfano mmoja kwa mchezaji ambaye amepata mafanikio nje ya Yanga halafu unakuja kutaja mchezaji mmoja wa Simba aliyepata mafanikio na kusema kama kuna mwingine zaidi ya huyo nikutajie, wakati wewe umeshindwa kumtaja mwingine zaidi ya Msuva.....

Hoja ni kwamba timu yenu haina mchezaji ambaye ni Caf Champion material kwenye level za kuanzia makundi na kuendelea.

Kama mchezaji huyo yupo naomba unitajie.

Nimekupa room ya kuchagua kuanzia misimu miwili nyuma nitajie nani ambaye mlimsajili akiwa na rekodi ya kufika makundi Club Bingwa. Umeshindwa

Mi nakupa jibu

Mchezaji mliyenaye mwenye mafanikio ya kuanzia hatua ya makundi Club Bingwa ni Mkude peke yake ambaye wote tunajua ametokea wapi.
Naona nahangaika na mtu mwenye udumavu wa akili.. bye
 
Hakuna cha ulozi wa CAF wala nini ile ilikua ibada na waliambiwa hivyo ila wao kwa uoga wao wakasema ni ibada inayotishia...
Hapa tunachosema Majini yenu yana haribu soka...
Ibada ya dini gani au kabila gani?
 
Simba ndiyo timu inayotambulika na CAF kama klabu hatari/tishio kwa ushirikina.
Kwa apa Tanzania kuanzia FAT kabla haijaitwa Tff imekua ikitoa adhabu mbalimbali kwa wachezaji wa Simba au klabu ya Simba kwa miaka mingi.
Mara ya mwisho Taifa Lili ingiza aibu isiyo fichika baada ya klabu ya Simba kuthibitika wakifanya ulozi mchana Hadharani kule south Afrika.
Aliyekua mchezaji wa Simba Gadiel Michael na klabu ya Simba waliadhibiwana Tff kwa kitendo Cha kuingia uwanjani masaa 6 kabla ya mechi dhidi ya Mbeya City na kufanya kushirikina.
Juzi mechi na Tabora united Simba walikua wakifanya ulozi mchana kweupe kabla ya mechi husika kuanza.

Tunategemea Bodi ya Ligi kama vile Inavyo wapeleka waamuzi walioboronga kwenye kamati ya waamuzi kwaajili ya Adhabu, itapeleka kwenye kamati ya Nidhamu vitendo vya kishirikina vilivyo fanywa na Simba kabla ya mechi dhidi ya Tabora kuchukuliwa hatua Kali kwakua yamekua ni mazoea kwa Simba kufanya vitendo hivyo wakiwa ndani na nje ya Nchi.

Hali iyo ya kutegemea ushirikina imefanya timu ya Simba kuto jiamini na matokeo yake kukataa baadhi ya viwanja kwakua hawataweza kufanya shiriki kabla ya mechi.
 
Back
Top Bottom