Yanga ni timu ya kustaafisha wachezaji

Yanga ni timu ya kustaafisha wachezaji

Wewe Bi.Mdogo umeanza kushabikia Mpira majuzi kisa Mdangaji mwenzio Mama J kukuleta hapa JF usijione unajua sana kuliko Mabasha zako tulia. Tafuta rika lako utatobolewa kizazi.
Sawa bi mkubwa
 
Hawawezi kukuelewa...toka Simba iachane na wazee sijui nini..wanapigwa mno na hawa vyura..ndo maana timu inaonekana inajikongoja...majini yanavunja vunja wanakosa speed... [emoji23] [emoji23]
Wewe dada inaokena unahusudu ushirikina tangu hili swala la majini liibuke naona una enjoy sana
 
Store keeper wa majini
Acha mboyoyo Yanga tuna Msuva (Wydad) Kisinda na Fiston wamechukua kombe la loser wakiwa na Berkane, Nonda Shabani nitaje wachezaji wawili tu wa huko kwenu waliofika hata nusu fainali kombe la loser au ubingwa nje ya Tanzania
 
Acha mboyoyo Yanga tuna Msuva (Wydad) Kisinda na Fiston wamechukua kombe la loser wakiwa na Berkane, Nonda Shabani nitaje wachezaji wawili tu wa huko kwenu waliofika hata nusu fainali kombe la loser au ubingwa nje ya Tanzania
Hilo ulishaita la loser sidhani kama lina hadhi yeyote ya kufanya utambe.

Nitajie mchezaji wenu aliyefika robo fainali Club Bingwa

Unaruhusiwa kutaja hata former players wa msimu uliopita.

Hilo najua litakuwa gumu kwako.

Nitajie mchezaji wenu yeyote ambaye amewahi kufika level ya makundi Club Bingwa (ukiacha hii ya juzi)
 
Kwa mchezaji yeyote anayetaka kucheza yanga na ama aliyepo yanga kwa sasa, ajue hii ndio timu ya hatma ya ubora wake.

Ubora wanaouonesha kwa sasa hautawahi kuonekana tena akisajiliwa na timu nyingine vinginevyo awe na utaalam wa kutengua majini yanayofugwa pale jangwani.

Na kwa sasa naona yameongezeka na wameanza kuwa na utaratibu wa kuyatolea sadaka ya damu. Hawa ng'ombe wanaochinjwa maana yake ndiyo hiyo.

Kucheza yanga ni hatari, jichanganye!
Mlivyosikia utani wa jadi mlizani ni kidude gani ?

Jadi ndio hizo sasa majini, misukule ,vizuka n.k.
 
Wewe ni mpumbavu ni ajabu kama ni mama wa familia una uwezo mdogo kiasi hiki cha kufikiria.
Balinya alikuwa top scorer kaja Yanga ka flop
Yikpe kashindwa Yanga ila kwengine ana perform vizuri kabisa
Musonda aliongoza kwa magoli ila kaja Yanga ka floppy.
Ni baadhi ya wachezaji ila kuna lundo la wachezaji waliosajiliwa Yanga na wameshindwa kuwika ndani ya Yanga, Je hao wachezaji Simba ndio wametia mkono kuua viwango vyao?

Case ya Mayele haina tofauti na Konde boy au Chama, na ndivyo mpira ulivyo au unataka kusema Kondeboy mlimtupia jini ili ashindwe kuwika kule Al Ahly? Mchezaji anaweza akatamba timu fulani na kushindwa kwenye timu nyingine kutokana na factor tofauti tofauti mfano ushindani wa namba, mfumo wa timu, kushuka kiwango n.k. msiwe wapumbavu na wajinga kiasi cha kukosa akili ya kufikiria kimpira.
Acheni kufuga majini kwanza. Halafu njoo tuongee mpira.

Litimu linaongozwa na uchawi wa mzee Mpili.
 
Wewe ni mpumbavu ni ajabu kama ni mama wa familia una uwezo mdogo kiasi hiki cha kufikiria.
Balinya alikuwa top scorer kaja Yanga ka flop
Yikpe kashindwa Yanga ila kwengine ana perform vizuri kabisa
Musonda aliongoza kwa magoli ila kaja Yanga ka floppy.
Ni baadhi ya wachezaji ila kuna lundo la wachezaji waliosajiliwa Yanga na wameshindwa kuwika ndani ya Yanga, Je hao wachezaji Simba ndio wametia mkono kuua viwango vyao?

Case ya Mayele haina tofauti na Konde boy au Chama, na ndivyo mpira ulivyo au unataka kusema Kondeboy mlimtupia jini ili ashindwe kuwika kule Al Ahly? Mchezaji anaweza akatamba timu fulani na kushindwa kwenye timu nyingine kutokana na factor tofauti tofauti mfano ushindani wa namba, mfumo wa timu, kushuka kiwango n.k. msiwe wapumbavu na wajinga kiasi cha kukosa akili ya kufikiria kimpira.
Umemjibu vyema huyo
Mbumbumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
stupid at your best
 
Hilo ulishaita la loser sidhani kama lina hadhi yeyote ya kufanya utambe.

Nitajie mchezaji wenu aliyefika robo fainali Club Bingwa

Unaruhusiwa kutaja hata former players wa msimu uliopita.

Hilo najua litakuwa gumu kwako.

Nitajie mchezaji wenu yeyote ambaye amewahi kufika level ya makundi Club Bingwa (ukiacha hii ya juzi)
Msuva akiwa Wydad timu ilifika final wakakuchua ubingwa tena akiwa top scorer, aliondoka wakiwa semi finals, ukitoka Samatta mchezaji gani asha fanikiwa nje ya Simba? nijibu kwanza tusifanye mambo yawe mengi , hilo kombe la shirikisho mnalo lidharau mnalo?
 
Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wewe dada inaokena unahusudu ushirikina tangu hili swala la majini liibuke naona una enjoy sana
Majini Fc
Majini Fc
Majini FC
😂 😂 😂 😂 😂 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸
Ikikuuma pita kando...nyie mlivyoshadadia 5...1 msinipangie cha kufurahia...
 
Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Dawa ya moto ni moto , Kama mnaamini Yanga kuna Majini na nyie fugeni yenu , vinginevyo mtaishia kulalamika tu.

Ukiona mtu analalamika kwa kuupa uzushi nguvu na hafanyi chochote jua maji yapo shingoni[emoji23].
 
Majini Fc
Majini Fc
Majini FC
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Ikikuuma pita kando...nyie mlivyoshadadia 5...1 msinipangie cha kufurahia...
Mimi Simba damu ila ukweli usemwe una husudu ushirikina shemeji yangu ajipange huko aliko
 
Mimi Simba damu ila ukweli usemwe una husudu ushirikina shemeji yangu ajipange huko aliko
Kumbe ww mnyama? Basi kaa kwa kutulia...hapa nitaandika majini fc mpk mwakani...ndo kwaanza feb...
Ukipata upenyo utumie...mbona wao waliandika mpk mabango ya 5 kwa 1...ww niache waza uwazavyo siko hapa kukuprove chochote...kuhusu shemeji yako utampigia ujue hali yake...
 
Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Wanasimba mlichobakiza ni mikia Tu,akili mumempa mo atengenezee juice....haya mayele kawapa kombe lenu. Msilalamike msimu ukiisha.
 
Back
Top Bottom