Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Semaji la majini likiongelea majiniMsimu wa mwaka juzi mlipigwa faini na caf kwa ulozi hadharani kule africa kusini,msimu uliopita aliekua mchezaji wenu gadiel michael alipigwa faini sababu ya kuonyesha ishara za kichawi,kapombe na israel mwenda awapeani hata mikono sababu ya tuhuma za kurogana,hamna timu inayoabudu uchawi TZ kama simba mnajitoa ufahamu tu nyie mashabiki wake,kuna clip mkiroga hadharani mlipocheza na tabora united,yan tabora utd timu ya kuiroga kabisa!
Nonda Shabani vipi? huko uarabuni unapo padharau kuna mchezaji wenu kafika hata daraja la pili?Samata,we mlete wako ila siyo Msuva ,maana kufanikiwa kwa mchezaji ni kucheza timu kubwa za Ulaya,na siyo daraja la kwanza uarabuni na ligi za Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeuliza mnyama wa aina ganiKumbe ww mnyama? Basi kaa kwa kutulia...hapa nitaandika majini fc mpk mwakani...ndo kwaanza feb...
Ukipata upenyo utumie...mbona wao waliandika mpk mabango ya 5 kwa 1...ww niache waza uwazavyo siko hapa kukuprove chochote...kuhusu shemeji yako utampigia ujue hali yake...
Ila rafiki kuna muda huwa mnachemka sana yaani sana..mpk mtu unahisi huyu mleta mada ana akili timamu ? Cha kushangaza utaona maoni nayo ni vile vile...na hii si ktk mpira tu hata kule ktk siasaTunajichetua tuu...hizi timu zitatufanya wehu...ukipata upenyo unamtania mtani mpk anaomba poo 😂 😂 😂
Kwa mchezaji yeyote anayetaka kucheza yanga na ama aliyepo yanga kwa sasa, ajue hii ndio timu ya hatma ya ubora wake.
Ubora wanaouonesha kwa sasa hautawahi kuonekana tena akisajiliwa na timu nyingine vinginevyo awe na utaalam wa kutengua majini yanayofugwa pale jangwani.
Na kwa sasa naona yameongezeka na wameanza kuwa na utaratibu wa kuyatolea sadaka ya damu. Hawa ng'ombe wanaochinjwa maana yake ndiyo hiyo.
Kucheza yanga ni hatari, jichanganye!
😂😂😂😂😂
Tangu enzi za kina Tabu Mangara kabla hajaanzisha Pan Africans, hao jamaa ni hatari Kwa kurushiana majini.
Muulize johnthebaptist anajua.
Hawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Mechi ya Derby inayokuja naenda na biblia uwanjani huku nasali,maana hawa ni mashetani wanarusha majini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Kawaida Mchawi aliyeroga kulia zaidi msibani. Ndiyo ninachokiona katika hili la Mayele, Wachawi wake mdiyo wapo mstari wa mbele wakimsindikiza Mganga kwenda kutafuta wachawi.Hawawezi kukuelewa...toka Simba iachane na wazee sijui nini..wanapigwa mno na hawa vyura..ndo maana timu inaonekana inajikongoja...majini yanavunja vunja wanakosa speed... 😂 😂
Hahahahaha nakupa kazi ndogo tafuta na chagua id walau 3 tu za hao jamaa kisha zifuatile vzr na kwa ukaribu..uone wanavyopost na wanavyochangia ..utagundua kituNonda Shabani vipi? huko uarabuni unapo padharau kuna mchezaji wenu kafika hata daraja la pili?
Mafanikio ya mtu mmoja aliyejenga ghorofa hayawezi kufananishwa na mafanikio ya watu 10 waliojenga magenge.Hoja gani hapo? niambie mchezaji gani asha fanikiwa baada ya kutoka Simba tofauti na Samatta
Vipi Nonda Shabani aliyefunguliwa Dunia ya Soka na Yanga kwenda kucheza fainali ya UEFA champion league ukifananisha na thamani ya Samata!!!Mafanikio ya mtu mmoja aliyejenga ghorofa hayawezi kufananishwa na mafanikio ya watu 10 waliojenga magenge.
Wewe una 3 mimi nina 1.
Swali nani mwenye nyingi?
Well hiyo inategemeana
Mwenye 3 ndio mwenye nyingi lakini vipi kama mwenye hizo 3 ni summation ya properties hizi hapa
1. Spacio
View attachment 2904881
2. Alteza
View attachment 2904882
3. IST
View attachment 2904886
Thamani ya properties zote 3 ni katika high maximum estimation ni jumla ya dola 1500
Halafu yule mwenye 1 ana Ferrari Daytona SP3 ambayo thamani yake ni dola milion 2
View attachment 2904879
Sasa hapo utaona mwenye 3 si lolote mbele ya mwenye 1
Hiyo ndio definition ya kwamba sometimes number zinaongopa. Wingi si kitu bali value ya kitu ndio inayo determine.
Mafanikio ya watu 10 kubeba loser cup hayawezi kuwa na thamani sawa na mafanikio ya Samatta kucheza EPL
Hata muwe na wachezaji 50 waliochukua loser bado hawawezi kuwa na value ya mchezaji mmoja aliyecheza ligi ya EPL na akatupia goli dhidi ya Man city
Samahani naomba nikutukane wewe ni ma**o, mafanikio ya Nonda Shabani unaweza kuyalinganisha na Samatta?Mafanikio ya mtu mmoja aliyejenga ghorofa hayawezi kufananishwa na mafanikio ya watu 10 waliojenga magenge.
Wewe una 3 mimi nina 1.
Swali nani mwenye nyingi?
Well hiyo inategemeana
Mwenye 3 ndio mwenye nyingi lakini vipi kama mwenye hizo 3 ni summation ya properties hizi hapa
1. Spacio
View attachment 2904881
2. Alteza
View attachment 2904882
3. IST
View attachment 2904886
Thamani ya properties zote 3 ni katika high maximum estimation ni jumla ya dola 1500
Halafu yule mwenye 1 ana Ferrari Daytona SP3 ambayo thamani yake ni dola milion 2
View attachment 2904879
Sasa hapo utaona mwenye 3 si lolote mbele ya mwenye 1
Hiyo ndio definition ya kwamba sometimes number zinaongopa. Wingi si kitu bali value ya kitu ndio inayo determine.
Mafanikio ya watu 10 kubeba loser cup hayawezi kuwa na thamani sawa na mafanikio ya Samatta kucheza EPL
Hata muwe na wachezaji 50 waliochukua loser bado hawawezi kuwa na value ya mchezaji mmoja aliyecheza ligi ya EPL na akatupia goli dhidi ya Man city
Hizi ndio rekodi za Shabni Nonda kwenye usajiliVipi Nonda Shabani aliyefunguliwa Dunia ya Soka na Yanga kwenda kucheza fainali ya UEFA champion league ukifananisha na thamani ya Samata!!!
Shabani Nonda aliichezea Yanga ipi?Samahani naomba nikutukane wewe ni ma**o, mafanikio ya Nonda Shabani unaweza kuyalinganisha na Samatta?
Hawakuwezi hata waje utopolo yote..Shabani Nonda aliichezea Yanga ipi?
Transfer history hii hapa inayoonesha timu zote alizopita
Nioneshe Yanga
View attachment 2904942
Ukishindwa mimi nitakupa sababu kwanini Yanga hapo haipo na nyinyi mnasema aliwahi kucheza Yanga
Nafikiri umeingia period sio kwa hasira hizi wewe mamaHawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Ana exposure kwako mbumbumbu kama hajui Nonda Shabani alicheza Yanga nahangaika nae wa nini?Hawakuwezi hata waje utopolo yote..
Uzuri unatumia akili kubwa..una data...una exposure ya football
MPAKA MSEMEHawa Yanga ni Mapumbavu sana, Yanaiingiza Simba Hasara na yanaleta fedhea kwenye Ligi yetu.
Kramo Top Scorer Ivory Coast.
Onana Top Scorer Rwanda.
Phiri Top Scorer Zambia.
Baleke Top Scorer Congo.
Saidoo Top Scorer VPL.
Woooote hao wameflop, hawaoni goli lilipo, sio kitu cha kawaida inafikirisha.
Wachezaji 5 Simba ametumia Billions of Money halafu woooote MAJINI yamewamaliza! Hatustahili kuchekea huu upumbavu. MCHAWI HAKI YAKE MOTO. Ifike wakati Yanga watengwe ili wajitafakari wanachofanya.
ENG. HERSI ARUDI KWENYE MALORI ATUACHIE MPIRA WETU.
Ana urgent za kitoto, siwezi poteza mda tuanze kubishana kwamba Nonda Shabani hakucheza Yanga, I'm not that stupidChukua madini kutoka kwa Scars...bishaneni kwa hoja...