Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema vijana wemeipambania team, bahati haikuwa upande wetu tutaenda kupindua mkeka Tunisia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani Nabi anasemaje????!!!???
kipanga walikaza hivi hivi tena suluhu ya bila kufungana, ila kilichoenda kuwakuta kule wanakijua wao.Hakika Mkuu. Japo napata uzito kusema kule tunaeza pata matokeo yenye kutuvusha hatua inayofuata.
Lakini si kuna unbeaten?Sasa imagine msimu huu Yanga ndio INA kikosi bora kabisa kuwahi kutokea, kwa hili siku za Nabi kuwa Yanga zinahesabika, kiu ya Wana Yanga ni international games ambazo kimsingi zimemshinda.
Kuna mwaka tutavuna matunda ya chuki tunazopandikiza.Ushabiki wa bongo unatia hasira,huku kwenye kibanda watu wamelipuka utadhani Yanga kashinda 😂😂😂😂😂
mwamba anarudu uzeeni tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani wako kama kuku vishingo... Wenyewe hatuna hata habari...Mashabiki wa simba wahangaika kama wanataka kutaga
Hongera. Uwe natabiri na mechi za derby sasa na wewe. 🤣🤣🤣Utabiri umetimia. Yanga kashinda 0-0
Hahahaaa. Lol.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani wako kama kuku vishingo... Wenyewe hatuna hata habari...
Mtani Yanga tumecheza Mpira ni vile mechi imekataa, kama ww ni mtu wa mpira utaelewa ila kama ni shabiki basiJamani kimataifa ni kugumu chukueni hiyo kama challenge msipende kubeza ushindi anaoupata mwenzako kuchukulia simple
Na huyu ni Club Africain, alingekuwa Pyramid ingekwaje?