[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nimecheka had nataka kuangusha cm, mie sitakiiiiii.Kweli kabisa Mkuu yaani Nabi Kimataifa amekuwa na mbinu mbovu mno aisee.
Na mpaka tulipofikia anaonekana si wa kubadilika.
Nakazia Mkuu.Kunguru akikunyea si kwamba ana shabaha mechi haijaisha hii, hawa tunawapelekea moto nyumbani kwao. Achaneni na makolo wachawi wakubwa hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byutiiiiiiiiiiiii byutiiiiiiiiiiiiMtani Yanga tumecheza Mpira ni vile mechi imekataa, kama ww ni mtu wa mpira utaelewa ila kama ni shabiki basi
Walipokea wageni, wakasema tunapuliza sumu vyumbani halafu leo yanataka tuyaombee mazuri, hiyo haiwezekani.Sio kuna siku, muda huu ni mavuno ya chuki mlizopanda. Unakumbuka mlipokuwa mnapokea wageni
Bora ingeanguka tu Mtani. (Jokes)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nimecheka had nataka kuangusha cm, mie sitakiiiiii.
Weraaaaaaaaaaaah!!!!
Umeongea kinyonge sana..Kuna mwaka tutavuna matunda ya chuki tunazopandikiza.
Kila deni huwa lazima lilipwe na riba juu.
Bado, save hii comment, vile vifo unavyovisikia vya mkanyagano kwenye nchi za wenzetu mtakuja kuvishuhudia live Tanzania, naandika kitu ninachokijuwa vizuri.Sio kuna siku, muda huu ni mavuno ya chuki mlizopanda. Unakumbuka mlipokuwa mnapokea wageni
Laana ya kupokea wageni haijawaacha salama mpaka watubuWalipokea wageni, wakasema tunapuliza sumu vyumbani halafu leo yanataka tuyaombee mazuri, hiyo haiwezekani.
Hii ni improvement kubwa kwa Yanga mwaka jana alicheza mechi mbili za mashindano na alipoteza nyumbani na ugenini lakini mwaka huu amecheza mechi tano mpaka sasa ameshinda mbili, ametoa sare na suluhu 2 amepoteza moja!!! Tuwe na shukran na kila hatua tunayopiga jamani sisi binadamu!!Kweli kabisa Mkuu yaani Nabi Kimataifa amekuwa na mbinu mbovu mno aisee.
Na mpaka tulipofikia anaonekana si wa kubadilika.
Sasa nimejua kwanini Nabi alifurushwaga kula Al merikh ya Sudani.Sometimes Simba anaweza kupotia nyakati ngumu timu haina muunganiko haichezi katika kiwango kizuri lakini linapokujaa swala la CAF inakuwa ni habari nyingine
Hata mpinzani akiwa na kikosi kizuri kuliko Simba anaweza kupoteza mchezo kutokana na ule woga wa kujua anacheza na timu yenye title gani Africa
Al Hilal walipokuwa wanajiandaa kukutana na Yanga waliomba mechi ya kirafiki na Tp Mazembe
Mazembe akawavaliaha jezi wachezaji wa timu ndogo ya mtaani huku Al Hilal asijue, lakini mwisho wa siku Al Hilal alipasuka bao 3
Club Africain wangecheza na Simba leo hii tungetegemea kusikia maneno ya mashabiki wa Yanga kuwa "mlipangiwa na vibonde"
Wagaweee bahasha kwa marefa, zilizojaa miamala ya tozo?Kuna namna viongozi wetu wabadilike.
Hii club ishakua kongwe sasa na kubwa katika ndani ya mipaka ya nchi.
Sitaki kuamini kama hii mechi hakukua na mpango maalumu wala wa kueleweka.
Kuna jinsi ambavyo viongozi wanatakiwa wawajibike.
Wewe nani kaudanganya kwamba hamna habari....Subiri uone moto utakao waka hapo Jangwani...🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani wako kama kuku vishingo... Wenyewe hatuna hata habari...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwana ametoa na bwana ametwaa....kazi ya Mungu Haina makosa.........
Sisi tulimpenda lakini waarabu wamewapenda zaidi.....
Bado, save hii comment, vile vifo unavyovisikia vya mkanyagano kwenye nchi za wenzetu mtakuja kuvishuhudia live Tanzania, naandika kitu ninachokijuwa vizuri.
Hizi timu mbili zinamilikiwa na Ccm na imewafaulu kuwapumbaza Watanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mleteeeeeeeeeeeee
Hata kama Mkuu. Kwa kikosi tulichonacho hatupaswi kuwa tia maji tia maji bana.Hii ni improvement kubwa kwa Yanga mwaka jana alicheza mechi mbili za mashindano na alipoteza nyumbani na ugenini lakini mwaka huu amecheza mechi tano mpaka sasa ameshinda mbili, ametoa sare na suluhu 2 amepoteza moja!!! Tuwe na shukran na kila hatua tunayopiga jamani sisi binadamu!!