Ahsante mkuu๐๐ผMkuu pole ndio matokeo
Kwa maoni yako unaona matokeo ya mechi ya leo yamesababishwa na mbinu za kocha au uwezo wa wachezaji?Nabi amekaa na timu muda wa kutosha sana, halafu kumbuka Nabi anasaidiwa na Kaze ambaye alikuwa kocha mkuu, kwa lugha rahisi Yanga tuna makocha Wawili wenye hadhi sawa.
Mpira wa Africa kupata matokeo ugenini ni Mara chache sana lakini mechi unatakiwa umalize nyumbani.
Punguza hasiraAl hilal si alikulawiti juzi tu hapa,ni timu nzuri huna uwezo hata wa kupata goli moja,africaine ndo huwawezi kabisa,wafunge Mbabane swallows,big bullets,de agosto
Ningekua Nabi ningeomba lifti niondoke na Hawa warabu ......begi alikua nalo pale uwanjani alisahau passportNigekuwa NABI ningejiuzulu kwa HESHIMA kipindi hichi...badala ya kusubiri Yanga wachoke...
Mlimshambulia sana Zahera alivyowashauri...[emoji28]Inategemea sasa Mkuu wachezaji hawa tunaowaona sasa watakuwepo kipindi hicho?
Mie huwa naona unapokuwa na kikosi kizuri ndo wakati wa kufanya vizuri pia sababu hiyo miaka miwili sijui mitatu ya kusema tutafika mbali si ajabu wachezaji hawa wote hata wasiwepo tukawa na wengine wapya ambao mwisho wa siku tutasema hawajazoweana.
Mlipowafunga wale ZALAN FC ambao mpaka sasa bado wapo safarini kurudi kwao, si mlikuwa mnatamba humu?๐Kuwafunga mbeya city wa Angola!?
duh, hivi bado hawajarudi hadi leo?Mlipowafunga wale ZALAN FC ambao mpaka sasa bado wapo safarini kurudi kwao, si mlikuwa mnatamba humu?๐
Bado wapo Biharamulo huko mipakani ๐.duh, hivi bado hawajarudi hadi leo?
ngoja amalizie zoezi la tarehe tisa professor wa unbeaten!Ningekua Nabi ningeomba lifti niondoke na Hawa warabu ......begi alikua nalo pale uwanjani alisahau passport
Kuna uzi nimetoka kuandika jioni hii kuhusu hizi timu mbili kumiliki na CCM.Bado, save hii comment, vile vifo unavyovisikia vya mkanyagano kwenye nchi za wenzetu mtakuja kuvishuhudia live Tanzania, naandika kitu ninachokijuwa vizuri.
Hizi timu mbili zinamilikiwa na Ccm na imefaulu kuwapumbaza Watanzania.
Woi nimeitema hiyo timuPole mtani pole mnoo
Hapana mpira ndo ulivyoWoi nimeitema hiyo timu
Wewe jamaa mwiko nyuma umeondoa maarifa, unadhani walioweka sheria ya magoli mengi ili kusonga mbele hatua zinazofutia walikuwa wajinga.Mtani Yanga tumecheza Mpira ni vile mechi imekataa, kama ww ni mtu wa mpira utaelewa ila kama ni shabiki basi
Kwenchana- yeo ??๐Aigooo Ahjussi๐๐๐๐
Sasa mtani kwa vile mmeshatimuliwa kimataifa mwacheni tu aendelee na unbeaten yake huku NBC.Kweli kabisa Mkuu yaani Nabi Kimataifa amekuwa na mbinu mbovu mno aisee.
Na mpaka tulipofikia anaonekana si wa kubadilika.