[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani mbna hutulii, afu ghafla sana.
Ask herKama hizo 4 hata kwa Geita hawezi ataweza kwa Mwarabu?
Na Kucheza mpiraKukimbiaaaaaa
Alafu beki acheze naniKocha karudia tena makosa yale yale ya mechi dhidi ya Al Hilal iliyochezwa hapa Tanzania. Isipokuwa leo kaongeza boko zaidi kwa kumpanga Kisinda. Hivi kwanini anashindwa kujua umuhimu wa Bangala kwenye nafasi ya kiungo mkabaji? Makocha wengine aisee hawajui kujifunza
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anazijua yeye alisema hizo 3. Wala sio mie.Hizo ndizo unazizujua? [emoji23][emoji23][emoji23] Umetisha mkuu
Zimebaki Dakika 25' mpira uanze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Kucheza mpira
Mashabiki wachache sana wamejitokeza uwanjani
Wananchi wa Congo labdaKila la kheri Timu ya Wananchi.
Ushindi mnono ndo kusudio letu na si vinginevyo.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Tulia weweeee.Wananchi wa Congo labda
Mtani tumetulia kimyaaa, wala hatuna shida tunasubiri CAF ipange makundi.Nyie ndo hamtulii Mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zimebaki Dakika 15' mpira uanzeTushanunua Sanda sisi Masheikh toka Tunisia wataongoza ibada ya mazishi
Hahahaaaa. Lol.Mtani tumetulia kimyaaa, wala hatuna shida tunasubiri CAF ipange makundi.
Ndio. Nimejitoa kibaruani mapema nikijua upo cha ajabu. Hola.
Mbona hajamuweka Farid? Si nasikia ndo balaa humo kikosiniWanaokwenda kuiaibisha nchiView attachment 2405043