Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One day yes.Yaan mtani mngefungwaaa leo, mbna ningewehuka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Kimataifa mtasikia redion tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea sasa Mkuu wachezaji hawa tunaowaona sasa watakuwepo kipindi hicho?
Mie huwa naona unapokuwa na kikosi kizuri ndo wakati wa kufanya vizuri pia sababu hiyo miaka miwili sijui mitatu ya kusema tutafika mbali si ajabu wachezaji hawa wote hata wasiwepo tukawa na wengine wapya ambao mwisho wa siku tutasema hawajazoweana.
Bado mna hope?Ni matokeo Mabaya lakini bora sare hii ya bila bila kuliko sare ya magoli.
Tena na clean sheetTunaendeleza UNBEATEN
Wewe ndio unatia huruma na kutafuta faraja kwa timu zinazocheza na Yanga, mkikutana na Yanga hamna lolote kelele tu.Unatia huruma mpaka unaonekana una busara
nyinyi ni wabovu subiri muwapokee wageni tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanii poleeee.One day yes.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa mie.UTOPOX = United Traditional and Ordinary Players On Exit[emoji2307][emoji2307][emoji2307]
Kuna kitu kinaitwa timu na kuna kikosi cha wachezaji hivi ni vitu viwili tofauti!!Hata kama Mkuu. Kwa kikosi tulichonacho hatupaswi kuwa tia maji tia maji bana.
Kawaida hiyoAisee! Hapa tuandike maumivu tu tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi huruma maskiniiiii, unatoa chozi huku unagumia, vumilia kimataifa sio level yenu.Wewe ndio unatia huruma na kutafuta faraja kwa timu zinazocheza na Yanga, mkikutana na Yanga hamna lolote kelele tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kitu kinaitwa timu na kuna kikosi cha wachezaji hivi ni vitu viwili tofauti!!
Anafurahi sana kuona timu ya nyumbani ikifanya vizuri ugeniniKwani Nabi anasemaje????!!!???
Byutiiiiiiiii byutiiiiiiiiii.Daah Yanga mnavunja moyo sana daah sina hamu kabisa kuwashabikia.
Mnakubalije kuwa wa mchangani siku zote.
Wanaume wanaupiga mwingi kimataifa ninyi mmeridhika mchangani? Aaaaah.
Inatosha
Game changer, sasa wananchi wana tetemaMayeleeeeeeeee
Mkuu pole ndio matokeo[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]we will stand
MWANANCHI.