Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Bado wapo Biharamulo huko mipakani 😂.
wangetuomba msaada tungewaazima dada zetu leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado wapo Biharamulo huko mipakani 😂.
Kwa hiyo Yanga tuifananishe na TP Mazembe iliyompiga Club African 8 kwa 0 pale Lubumbashi.Ni kweli lakini usiifananishe Kipanga na Yanga bana.
Yaani Club African hakuna kitu hapo. Nimeshangaa utopolo kusumbuka vileSimba mechi ya leo angemaliza mapema sana hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaishiwaaaaaaaaa.
Nawee ni Utopoloooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante mkuu[emoji1374]
Hadi siku mwiko mkichomoa mtakaa sawa💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
#YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO#
Mpira una matokeo matatu, tukutane Tunisia...
We huoni akikutana nasi anatusumbua?Hiko kikosi kizuri huwa mnaangalia kwa Angle ipi?
Inawezekana jogoo hawiki anarundika wake kupumbaza watu wasijue shida yakeAtaanza kuwapost wake zake kubadilisha mada
Mbona Yanga yangu, waliwafunga Zolan fc. 9:0Inawezekana jogoo hawiki anarundika wake kupumbaza watu wasijue shida yake
Kumaaawooo😂😂Aigooo Ahjussi😂😂😂😂
Nilitaka kuuliza hivyo hivyoKwa hiyo mnataka kuniambia wanabaki na zile 0.5 points
Wanatusumbua kwa uchawi sio mpiraWe huoni akikutana nasi anatusumbua?