tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Duh! Yamekuwa hayo. Usikate tamaa mkubwa. Dakika bado zipo.Yanga hata mshinde goli mia mechi haina mvuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Yamekuwa hayo. Usikate tamaa mkubwa. Dakika bado zipo.Yanga hata mshinde goli mia mechi haina mvuto
Yanga hata mshinde goli mia mechi haina mvuto
Ushuzi gani huu!!Simba 3 Yanga 1
Yanga inahitaji point 3 muhimu, hayo mengine ni yako.Yanga hata mshinde goli mia mechi haina mvuto
kuna mpira mmoja hapa ameuchukua kwa mshambuliaji wa kijan na nyeusi hatari sana yaan hadi uone ndiyo utaelewa zaidi na kuipata ile ladha halisiNiko mbali na TV ndugu, jamaa kafanyaje huko taifa?
Umekata tamaa mapemaYanga hata mshinde goli mia mechi haina mvuto
Hakuwa anadanganya pale, kwa bahati mbaya mguu wa mwamnyeto ulifika kwenye paja lake, kilichoharibu mambo ni reaction ya Diarra.Morrison atai cost simba .. Red card