Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Hii timu ya simba hovyo sana. Badala ya kupanga kikosi kibovu kama kile walichocheza na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini!

Halafu huyu mvuta bangi vipi tena! Mbona analeta mambo ya kudeka deka uwanjani!
 
29'

Njano kwa morison na diara naye kapewa
 
Niko mbali na TV ndugu, jamaa kafanyaje huko taifa?
kuna mpira mmoja hapa ameuchukua kwa mshambuliaji wa kijan na nyeusi hatari sana yaan hadi uone ndiyo utaelewa zaidi na kuipata ile ladha halisi
 
Back
Top Bottom