Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

Kwani vipi? Masikini mtakufa kwa pressure.
EwRvd8oXIAEcvi4.jpg
 
Ligi imesimama....
Yanga hawataki kufanya mazoezi wao wapo busy kusoma al badil ( kisomo)[emoji1787][emoji1787]
Alafu tunaanza kuilaumu Tff wakati tunavocheza hata hatueleweki,sijui hawalipwi mishahara au ni vip?Mbona mwanzo wa ligi tulikua moto sana.
 
Daaah ngoja tuone moja moja now [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom