Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Sisi KMC tunaruhusiwa kuendelea Kupost au [emoji12]Baada ya simba kuzivusha Timu nne CCL, azam wamepata tamaa ya kushiriki. Iwapo yanga atapoteza hii mechi ya leo, atageuka kuwa mshindani wa Azam na sio Simba tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikundi cha wahuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha yamefungwaa hahahaha wahuni wamefungwaa
Haya Sasa chomoeni mtafute sare hahahaha
Kumbeba huyo mwinyi wao wakajua wameshakuwa mabingwa yani.Hii picha kamwe haitazeeka
Alafu tunaanza kuilaumu Tff wakati tunavocheza hata hatueleweki,sijui hawalipwi mishahara au ni vip?Mbona mwanzo wa ligi tulikua moto sana.Ligi imesimama....
Yanga hawataki kufanya mazoezi wao wapo busy kusoma al badil ( kisomo)[emoji1787][emoji1787]
Hii picha kamwe haitazeeka
@SaaMbovuGoli kufunga nani?
Wamechomoa?
Jalalani🤣waliokota wapi hawa wachezaji Yanga
YacoubaGoli kufunga nani?