OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa matokeo haya utopolo tunamuaga rasmi leo???
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wapo bize na mo! Wanaacha chama lao linateswa huku! Wameanza kututia aibu mapema tu! Je huko kwa wanaume ahly, casablanca, mamelod si hawa jamaa watatuumbua kbs
Ya kwao yanadodaaa!!Kumekucha huku hawaji, wapo bize na kuikejeri Simba
Kwahiyo utopolo anaaga mashindanoo??3 kwa 0[emoji204][emoji205][emoji1664][emoji1663][emoji3080][emoji191][emoji191]
Bado yupo kwa tiketi ya kubebwa na CAS.Kwahiyo utopolo anaaga mashindanoo??
Hiyo ishageuka kuwa timu ya Mipasho.hhahahaha walijikita kuongelea habari za manara mpira wakaupa kisogo
Sio tu kuaga madhindano. NI KUAGA KWA MSHINDOKwahiyo utopolo anaaga mashindanoo??