Yanga SC 1-3 Express | Kagame Cup. Yanga yaondolewa hatua ya makundi

Yanga SC 1-3 Express | Kagame Cup. Yanga yaondolewa hatua ya makundi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mpira unaendelea

45' Yanga 0 - 2 Express

========

Full Time: Yanga SC 1-3 Express FC (Godfrey 14’) (Muzamiru 35’ Kambale 52’ Paul 71’)

CECAFA.JPG
 
Wapo bize na mo! Wanaacha chama lao linateswa huku! Wameanza kututia aibu mapema tu! Je huko kwa wanaume ahly, casablanca, mamelod si hawa jamaa watatuumbua kbs
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hawa yanga aka "utapu tapu" ni timu ya kawaida sana sema huwa wanabebwa sana na waamuzi wa hapa kwetu.

Niliwaambia hizi mechi za kimataifa watatepeta sana maana ujuzi wao upo katika mieleka sio mpira.

Angalia timu inavyobugia magoli!
 
Yanga timu yangu, michuano hii ya CECAFA mmepeleka kikundi cha wahuni..
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Back
Top Bottom