Inatuhusu nini hii!
Timu zote tz ni mbovu kwa yangaJKT kwa yanga wabovu sana,wanakazaga kwa simba tu.Natania jamani
Mwaka wenu...sio enzi zile za kupitisha bakuli π€£π€£π€£Yanga itapiga yeyote anaepita.....
...πππHii Yanga ambayo imeshajiandalia mazingira ya ushindi iwe kwa magumashi au la mnaitazama?