Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua anadhaminiwa GSM sio bure aseehBahasha ya wazi kabisa.
Kipa anadakiaje nje ya kumi na nane?
labda pia mazingira yalimlazimisha maana mabeki wake walikuwa off position akajikuta yupo 1 vs 1 na pacome so ni either mpira ungemzabua tumbo au aupishe liwe goliKipa mpuuzi sana,ndio maana ata kapteni wao kamwambia amezingua sana
Cc. rageR jiga alifungiwa msimu nzima na tifua tifua leo ndio nimejua kwa nn YANGA BINGWA.
Kweli, japo Yanga inasifiwa ina kikosi bora ila bado kuna lundo la wachezaji vichomi.. hawa kina Aziz andambwile, Kibabage, Nkane, Sureboy, Mkude, Msonda, Baleke ni mizigo kwa timu. Pia hakuna mbadala wa Diara pale golini ndio maana hata game ya debi amecheza bila ku train na wenzakeKibabage uyu jamaa hastaili kuepo yanga.,aende ata namungo uko
Sasa hawa si chaguo mbadala? Wachezaji high class utawasajili wakakae bench?Kweli, japo Yanga inasifiwa ina kikosi bora ila bado kuna lundo la wachezaji vichomi.. hawa kina Aziz andambwile, Kibabage, Nkane, Sureboy, Mkude, Msonda, Baleke ni mizigo kwa timu. Pia hakuna mbadala wa Diara pale golini ndio maana hata game ya debi amecheza bila ku train na wenzake
Baaaado hamjasema.Hii,sheria iko wazi sana inakuwaje goalkeeper adake mpira nje ya 18? Rushwa ya wazi kabisaaa, GSM unaharibu mpira kabisaaa
Na nyie mdhaminiwe na GSM sasaHii,sheria iko wazi sana inakuwaje goalkeeper adake mpira nje ya 18? Rushwa ya wazi kabisaaa, GSM unaharibu mpira kabisaaa
Ni umeme tu hakuna kingineSheria inasemaje kuhusu kipa kudaka nje ya eneo lake?
Tunapozungumzia quality ya timu kumbe tunamaanisha ile first 11 tu?Sasa hawa si chaguo mbadala? Wachezaji high class utawasajili wakakae bench?