Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Utawalipa pacome, Aziz K na wengine kukaa bench ili usajili wachezaji wenye level ya juu wawe first 11?Tunapozungumzia quality ya timu kumbe tunamaanisha ile first 11 tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawalipa pacome, Aziz K na wengine kukaa bench ili usajili wachezaji wenye level ya juu wawe first 11?Tunapozungumzia quality ya timu kumbe tunamaanisha ile first 11 tu?
roho mbaya itakufa iyo 🤣Sote tunatoa bahasha ila hawa wenzetu wa Yanga hawana aibu kabisa.
Tushavuka hukoSiku hizi Yanga ni kama wanacheza wameridhika, ule uchu wa kupiga goli 5 umepungua
Milio kama hii ni lazima[emoji23]Hii,sheria iko wazi sana inakuwaje goalkeeper adake mpira nje ya 18? Rushwa ya wazi kabisaaa, GSM unaharibu mpira kabisaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sote tunatoa bahasha ila hawa wenzetu wa Yanga hawana aibu kabisa.
Wanatunza nguvu kwa ajili ya Klabu bingwa.Siku hizi Yanga ni kama wanacheza wameridhika, ule uchu wa kupiga goli 5 umepungua
Huyu Diarra watamuuaKivumbi kingine kwa timu ya Wananchi Yanga SC katika ligi kuu ya NBC leo tena kuondoka na alama tatu?
🏆 NBC Premierleague
⚽️ Young Africans SC🆚JKT Tanzania
📆 22.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku
View attachment 3132173
View attachment 3132767
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeanza karibu kupata burudani ya soka
Dakika, 36 mpira bado unakasi sana
Dakika,41 mchezaji wa JKT anapata kadi nyekundu.
Dakika, 44 Goooool Yanga wanapata goli la pili.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika Yanga wanatoka kifua mbele.
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeshaanza.
Dakika,54 Yanga wapo kwenye umiliki wa mpira.
Dakika,59 Yanga wametengeneza nafasi mbili za kufunga ila wameshindwa kuzitumia.
Dakika,67 Yanga wameendelea kupeleka pumzi ya moto JKT.
Dakika,70 Aziz Ki anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika,73 Yanga wanafanya mabadiliko anaingia Baleke anatoka Chama pia anatoka Job anaingia Yao.
Dakika,83 JKT wamekuwa watulivu wanaumiliki mpira sasa.
Ukweli lazima usemwe.. Azizi ki ameshuka kiwangoNi mapenzi tu ya kocha yanafanya hadi Aziz Ki apate namba ila jamaa anatuzingua sana msimu huu. Sikumbuki mechi hata 1 aliyocheza vizuri
Uchiz ni pamoja na kuchanganya mamboHii,sheria iko wazi sana inakuwaje goalkeeper adake mpira nje ya 18? Rushwa ya wazi kabisaaa, GSM unaharibu mpira kabisaaa
Hamisa mobeto ile jezi alirudisha.Ukweli lazima usemwe.. Azizi ki ameshuka kiwango
Sijui amepatwa na nini
Zingatia adabuHii Yanga ambayo imeshajiandalia mazingira ya ushindi iwe kwa magumashi au la mnaitazama?
JKT wangetimia wangesawazisha.Siku hizi Yanga ni kama wanacheza wameridhika, ule uchu wa kupiga goli 5 umepungua
Alisikika mwambatako mkaazi wa kiwalani akinenaBahasha Fc ....
Tumeacha kuwa fedhehesha wapinzaniSiku hizi Yanga ni kama wanacheza wameridhika, ule uchu wa kupiga goli 5 umepungua