mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
According to the rules of the football game, the goalkeeper who prevents a goal from being scored with his hand outside the penalty area receives a red card, but if the goal is scored, the rule of the lower level goes and the goalkeeper receives a yellow card.Sheria inasemaje kuhusu kipa kudaka nje ya eneo lake?
.wewe nyie wenyewe mbona wakati yanga wanapitisha bakuli na papaa zahera mlikuwa mnaanda ushindi mapemamnaitazama
Hawa jkt wanapotezaje mpira pale katikati kirahisiWasiojua mpira utawasikia "Yanga kabebwa,Kipa kachukua hela......GSM anatuharibia ligi yetu....." wanakuja mda sio mrefu.
Bahasha Fc ....Bahasha ya wazi kabisa.
Kipa anadakiaje nje ya kumi na nane?
Angefanya nini pale we mbumbumbuBahasha ya wazi kabisa.
Kipa anadakiaje nje ya kumi na nane?
Kipa mpuuzi sana,ndio maana ata kapteni wao kamwambia amezingua sanaHapa sheria ndo imechukua mkondo wake, ndio maana huoni mchezaji yeyote wa JKT analalmika
Unafikiri kapenda angeacha lile goli.Bahasha ya wazi kabisa.
Kipa anadakiaje nje ya kumi na nane?
Labda asawazishe makorongoJKT anasawazisha.
Kazi iliyokushinda wewe mtu mzima unataka watoto wakusaidie?Bahasha ya wazi kabisa.
Kipa anadakiaje nje ya kumi na nane?