ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Baada ya Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli 2 bila, leo Tena Saa 2:15 usiku, machampion watetezi Yanga SC kuanza mbio za kutetea taji lao kwa kukipiga na Taifa Jang'ombe, ambao walipoteza mechi ya kwanza.
Je, Yanga SC kuendeleza kipigo kwa Taifa Jang'ombe ama Yanga watakwaa kisiki?
Mtanange huu utakuwa hapa tukikuletea Live.
========
Yanga Sc 2-0 Taifa Jang’ombe
⚽Makambo 33'
⚽Nkane 50'
Je, Yanga SC kuendeleza kipigo kwa Taifa Jang'ombe ama Yanga watakwaa kisiki?
Mtanange huu utakuwa hapa tukikuletea Live.
========
Yanga Sc 2-0 Taifa Jang’ombe
⚽Makambo 33'
⚽Nkane 50'