MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Yaani Wenzenu Simba SC wanajiandaa Kucheza na Vilabu vya maana Barani Afrika huku ikiwa imetoka Kucheza na vingine viwili huko Morocco ilipokuwa Pre Season nyie mnacheza na Friends Rangers FC ya Magomeni.
Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zanaco FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.
Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?
Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?
Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zanaco FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.
Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?
Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.
Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.
Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zanaco FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.
Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?
Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?
Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zanaco FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.
Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?
Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.
Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.