Yanga SC bhana! Hivi kulikuwa na ulazima wowote ule kwa Hadhi yenu Kucheza Mechi ya Kirafiki na Friends Rangers na Kushinda 3 - 1?

Yanga SC bhana! Hivi kulikuwa na ulazima wowote ule kwa Hadhi yenu Kucheza Mechi ya Kirafiki na Friends Rangers na Kushinda 3 - 1?

Yaani Wenzenu Simba SC wanajiandaa Kucheza na Vilabu vya maana Barani Afrika huku ikiwa imetoka Kucheza na vingine viwili huko Morocco ilipokuwa Pre Season nyie mnacheza na Friends Rangers FC ya Magomeni.

Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zesco United FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.

Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?

Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?

Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zesco United FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.

Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?

Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.

Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.
Umejaribu kuedit ila kwa kuwa ni mbumbumbu bado unakosea tu mara umeweka Zanaco alafu hapo hapo ukaweka sijui beki wa Zesco bado kuna umbumbumbu mwingi sana kwenye huu uzi
 
Kukosea kwa Mwanadamu ni Jambo la Kawaida ila kwa Mpumbavu kama Wewe na hao waliokupa Likes ndiyo mnaweza Kushangaa.

Unaacha kujadili Content unakimbilia katika Kasoro na hii ndiyo Hulka ya Watu wa Yanga SC na ndiyo maana mpaka hii leo Mafanikio mnayatafuta kwa Tochi huku Simba SC ikiendelea tu Kutamba Kimpira nchini.

Ni kweli Ismail Aden Rage alituita Simba SC kuwa ni Mbumbumbu ila hata nyie Yanga SC aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji tena Mubashara kabisa aliwaiteni kuwa ni Nyani, Mbwa na Sokwe.

Sasa naomba kujua kati ya Simba kuitwa Mbumbumbu na Yanga kuitwa Nyani, Mbwa na Sokwe ipi ni mbaya na imekaa Kiudhalilishaji zaidi? Nasubiri jibu lako ukisaidiwa na hao Fools Wenzako waliokupa Likes sawa?

Cc: Ndondocha mkuu, joseph1989, Cytotoxic
Content imejaa mashudu ndo mana lazima ijadiliwe ili urekebishe
 
Yaani Wenzenu Simba SC wanajiandaa Kucheza na Vilabu vya maana Barani Afrika huku ikiwa imetoka Kucheza na vingine viwili huko Morocco ilipokuwa Pre Season nyie mnacheza na Friends Rangers FC ya Magomeni.

Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zesco United FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.

Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?

Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?

Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zesco United FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.

Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?

Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.

Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.
Zesco ipi ilicheza na yanga mkuu?? Ukiona hujui na hutaki kujua bora unyamaze kuliko kujiahibisha
 
Yaani Wenzenu Simba SC wanajiandaa Kucheza na Vilabu vya maana Barani Afrika huku ikiwa imetoka Kucheza na vingine viwili huko Morocco ilipokuwa Pre Season nyie mnacheza na Friends Rangers FC ya Magomeni.

Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zesco United FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.

Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?

Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?

Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zesco United FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.

Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?

Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.

Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.
Lakini pamoja na kutokujua yanga alicheza na timu gani jaribu kurudi nyuma na jiulize miaka 3 iliyopita kombe la Azam ulitolewa na timu ya daraja la ngapi na ukipata majibu basi jipige kifua mbele na kusema wewe ni mjinga na mbumbumbu.
 
Kwa hizi Hasira zenu wana Yanga SC kwa huu Uzi wangu ni Ushahidi tosha kuwa Sindano yangu yenye Dawa imeenda mahala pake na nina Furaha kubwa mno kuona mmekasirika na mtakasirika zaidi Simba Day tarehe 19 Septemba, 2021 na ile Siku ya Mechi ya Ngao ya Hisani / Jamii ambapo tunaenda kutoa Kipigo kitakachowafanya Mvurugane, Mfarakane, Mpigane wenyewe kwa wenyewe na mumfukuze Msukule Wenu.

Nitawakereni sana hapa JamiiForums!!!!
Mzee baba me sio Yanga labda tu unijui japo me ni Mwanasimba mwenzako lakini ndungu yangu siwezi kuunga mkono kwa kila jambo eti kwa sababu ni mshabiki mwenzangu Sina ushabiki wa namna hiyo I tell you truth umeandika rubbish
 
Kukosea kwa Mwanadamu ni Jambo la Kawaida ila kwa Mpumbavu kama Wewe na hao waliokupa Likes ndiyo mnaweza Kushangaa.

Unaacha kujadili Content unakimbilia katika Kasoro na hii ndiyo Hulka ya Watu wa Yanga SC na ndiyo maana mpaka hii leo Mafanikio mnayatafuta kwa Tochi huku Simba SC ikiendelea tu Kutamba Kimpira nchini.

Ni kweli Ismail Aden Rage alituita Simba SC kuwa ni Mbumbumbu ila hata nyie Yanga SC aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji tena Mubashara kabisa aliwaiteni kuwa ni Nyani, Mbwa na Sokwe.

Sasa naomba kujua kati ya Simba kuitwa Mbumbumbu na Yanga kuitwa Nyani, Mbwa na Sokwe ipi ni mbaya na imekaa Kiudhalilishaji zaidi? Nasubiri jibu lako ukisaidiwa na hao Fools Wenzako waliokupa Likes sawa?

Cc: Ndondocha mkuu, joseph1989, Cytotoxic
Kukosea kwa binadamu kupo sawa, vipi yanga kufungwa na Zanaco nini cha ajabu au yanga wachezaji sio binadamu?? Kumbukeni kombe la Azam mwaka 2017,2018 mlitolewa na za daraja gani??
 
Huyu hapa ni bilionea wapili duniani na hii ni recent post yake huko instagram

View attachment 1921564

Na hakika bajeti ya msosi wa mbwa wa billgate kwa miezi 6 ni zaidi ya thamani ya pesa aliyowekeza GSM hapo dimbwini

Naona umeamua kuwamaliza kabisa,haya Utopolo Bill Gate ana Account Instagram! Mwambieni Manara huko maana anajiona mjuaji wa kila kitu,au GSM ni Tajiri zaidi kuliko Bill Gate [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
All in all, ujumbe wa mleta thread nadhan kila mtu kaelewa intention yake, mimi ni shabik wa yanga na namuunga mkono hatuwez kucheza na friends ranger kwa ajili ya maandaliz ya CL hapo hatutagain chochote..simba walianzisha super cup tumeona ilivyowasaidia kwenye CL..ni muda sasa wa viongoz wa yanga kufanya mambo kwa kuangalia mbali..YANGA NI TEAM KUBWA
 
Maandalizi ya cahmpions league mkuu...
Ya kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni? Hivi Bondia Antony Joshua akiwa anajiandaa Kupambana na Tyson Furry anatakiwa kuja Kucheza Mpambano wa Kirafiki ( Kujipima ) na Dulla Mbabe wa Tanzania?
 
All in all, ujumbe wa mleta thread nadhan kila mtu kaelewa intention yake, mimi ni shabik wa yanga na namuunga mkono hatuwez kucheza na friends ranger kwa ajili ya maandaliz ya CL hapo hatutagain chochote..simba walianzisha super cup tumeona ilivyowasaidia kwenye CL..ni muda sasa wa viongoz wa yanga kufanya mambo kwa kuangalia mbali..YANGA NI TEAM KUBWA
Sikujua kuwa japo nawadharau mno Mashabiki wa Yanga SC kumbe wapo ambao ni very Intelligent and Factual kama Wewe. Hongera Kwako na Asante kwa Kunielewa na Kuelewa pia Dhumuni langu na Ujumbe muhimu.
 
Yaani Wenzenu Simba SC wanajiandaa Kucheza na Vilabu vya maana Barani Afrika huku ikiwa imetoka Kucheza na vingine viwili huko Morocco ilipokuwa Pre Season nyie mnacheza na Friends Rangers FC ya Magomeni.

Mlivyo Wapuuzi japo wenyewe mnajifanya mna Akili baada ya Majuzi Kunyooshwa na Wazambia Zanaco FC kupitia Kelvin Kapumbu na kutia Aibu mkaona leo mtafute Timu dhaifu ili muifunge Goli nyingi kisha Vyombo vya Habari Kesho viwaandike vizuri ili kurejesha Imani kwa Mashabiki wenu na waujaze Uwanja katika Mechi yenu ya CAF CL na Rivers ya Nigeria.

Kuna Kitu wazungu wanakiita / wanakisema Value Yourself in order for others to Value You more. Sasa Yanga SC kwa Kucheza Kwenu na Wahuni, Vibaka na Wauza Bangi Friends Rangers FC ya Magomeni chini ya Kocha wao Heri Mzozo ( ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia ) ndiyo kujipandisha Thamani huko?

Hivi kweli Kipimo sahihi cha Yanga SC kujipima hasa ikielekea kucheza CAF CL ni Kucheza na Friends Rangers FC ya Magomeni ili uifunge Goli nyingi kisha upambwe ( usifiwe ) na Magazeti ya Kesho kuwa uko ( mko ) imara, mmekamilika na kwamba mnaweza Kucheza na Klabu yoyote ile Kubwa ndani na nje ya Tanzania?

Sishangai ndiyo maana Kocha wa Zanaco FC juzi baada ya Mechi nao alipohojiwa alisema Yanga SC inataka Kukimbia wakati hata Kutembea tu bado kunawashinda huku Beki wao Zanaco FC alisema kama wangecheza na Simba SC ndiyo wana uhakika kuwa wangepata Changamoto na kujua wanacheza na Timu inayojitambua na iliyokamilika kila idara.

Inaingia Akilini kweli kwa mfano Bondia mkubwa kama Antony Joshua ( kutoka Uingereza ) anataka Kucheza Shindano Kubwa au la Olimpiki halafu anakuja Tanzania kuomba Kucheza Mchezo wa Kirafiki na Bondia Dula Mbabe halafu akimchakaza ( akimpiga ) vibaya aanze Kujitapa ( Kujjnasibu ) kuwa Yeye ( Antony Joshua ) yuko imara na ameshaiva Kimashindano?

Sasa baada ya Yanga SC leo Kumfunga / Kuifunga Friends Rangers FC Goli 3 kwa 1 yaliyofungwa na Mayele, Nchimbi na Yusuph subirini muone Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Kesho ( hasa hasa ) ya Michezo nchini.

Ambapo yatawapamba utadhani ni Timu Kubwa na Bora Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Duniani wakati sasa ni mwaka wa Nne huu Ubingwa wa VPL wanausikia tu kwa Waliobarikiwa na wanaoujua Mpira Simna Sports Club Wekundu wa Msimbazi.
Wewe umevurugwa sio bure, kuna siku yanga itakuua kifo cha taratibu maana sio kwa gubu ilo ulilonalo, ata aujui mambo ya kiufundi yanayotakiwa na kocha unapuyanga tu Kama mlevi wa kimpumu,,,mambo ya yanga waachie wanayanga wenyewe bwana nenda kanunue jezi kwa vunja price keshazimwaga mtaani tokea jana watu wanasagula sagula ukinunua moja unaongezewa nyingine moja ya bure,,,
 
Kafatilie mechi za pre season za hata ulaya timu kucheza .mechi na timu dhaifu ni kawaida kwasababu hawajali matokeo. Mourinho na Roma yake kacheza mechi ya kirafiki na Raja Casablanca.
Hivi Yanga SC kucheza na Friends Rangers FC ya Championship ( Ligi Daraja la Kwanza ) na kucheza na Mtibwa Sugar FC au Prison FC ipi Kiufundi ingekuwa na Faida kubwa Kwao kuelekea Kupambana na Timu ngumu ya Rivers United kutoka nchini Nigeria Siku 10 tu zijazo?

Nikisema Watu wa Yanga SC hamnazo Kichwani msiwe mnanibishia au mnakataa kwani ndiyo Uhalisia wenyewe. Nashukuru baadhi ya wana Yanga SC wenye Akili kubwa hapa JamiiForums ( na katika Uzi huu ) wamenielewa.
 
Mzee baba me sio Yanga labda tu unijui japo me ni Mwanasimba mwenzako lakini ndungu yangu siwezi kuunga mkono kwa kila jambo eti kwa sababu ni mshabiki mwenzangu Sina ushabiki wa namna hiyo I tell you truth umeandika rubbish
Simba SC hatuna Shabiki Nut kama Wewe.
 
Man u ana miaka zaidi ya 6 hajagusa ubingwa lakini huwezi kuta shabiki wa Chelsea anaongea upuuzi kama huu kuhusu man u.

Mashabiki wa Mpira bongo ni vichekesho utakuta anaiponda yanga kutochukua ubingwa miaka mi 4 alafu yeye anashabikia Arsenal.

Kinachoangaliwa katika mechi za kirafiki sanasana sio ushindi Bali ni kuangalia kama wachezaji wanaelewa mafunzo ya mwalimu na pia kuwaweka wachezaji katika utimamu hata Chelsea juzi kabla hajacheza super cup alijipima nguvu na katimu cha daraja la 2.

Cha muhimu jitahidi kuwa positive sio kila kitu kuhusu yanga lazima upingane nacho tu.
Mimi ni shabiki lialia wa lunyasi mkuu umetoa nondo ya uhakika ila mleta uzi Jentamaizi anakimavi matakoni ni mtu wa kupuuzwa na Zesco yake ya nyokoo
 
Hivi Yanga SC kucheza na Friends Rangers FC ya Championship ( Ligi Daraja la Kwanza ) na kucheza na Mtibwa Sugar FC au Prison FC ipi Kiufundi ingekuwa na Faida kubwa Kwao kuelekea Kupambana na Timu ngumu ya Rivers United kutoka nchini Nigeria Siku 10 tu zijazo?

Nikisema Watu wa Yanga SC hamnazo Kichwani msiwe mnanibishia au mnakataa kwani ndiyo Uhalisia wenyewe. Nashukuru baadhi ya wana Yanga SC wenye Akili kubwa hapa JamiiForums ( na katika Uzi huu ) wamenielewa.
Una unakumbuka Mashujaa fc na Green warriors fc ziliwafanya nini Makorokoro fc katika FA? unajua zipo daraja la ngapi na ziliwafanya nini?
 
Back
Top Bottom