Unavyonitaka nitumie Akili ni lini Wewe umewahi Kuzimiliki hizo Akili Ubongoni mwako? Authentic Imbecile kama Wewe anaweza kuwa na Akili?
Utahangaika mno kutumia Multiple ID's zako Kupambana nami GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' ila hutoniweza kwani tayari nina Tunu ( Shani ) nyingi za Ubarikio kutoka Kwake Baba Muumba Mwenyezi Mungu.
Ningekuwa Popoma ( Mpumbavu ) kama usemavyo ningekuwa na Great Thinkers Followers wangu 117+ nilionao mpaka sasa? Wewe usiye Popoma una hata Follower Mmoja tu? Na usichokijua hilo Neno Pendwa hapa JamiiForums la Popoma Mimi GENTAMYCINE ndiyo nililianzisha mwaka 2014 baada ya Kutohoa maneno ya Kizaramo na Kindengereko ndipo nikalitengeneza na leo limepata Mashiko hapa Jamvini na Kwingineko.
Nimemaliza.