Yanga SC ikishinda leo na Kufuzu Fainali CAFCC nawakabidhi Mke wangu Mrembo mserebuke nae kwa Siku 3

Acha upumbavu mtoa mada, unajua thamani ya mke? unamfananisha mwanamke kama kitu na sio mtu? kwanini usijitoe ww mwenyewe kwa madume yakakuchakaza, hivi ungekuja kusikia siku moja baba yako alimbetia mama yako kwa upumbavu wa hivi ungemfikiliaje, uwe na heshima kwa wanawake. Alaaaa.
 
Mtu unayeamini ana akili ukigundua Hana kabisa inaumiza Sana. Mwanaume unaanzaje kutoa ahadi ya Kipuuzi kama hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…