Yanga SC Inawachezaji wengi wanaotoka kwenye mataifa makubwa kimpira. Ndio maana hawaitwi katika timu zao za taifa

Yanga SC Inawachezaji wengi wanaotoka kwenye mataifa makubwa kimpira. Ndio maana hawaitwi katika timu zao za taifa

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kuna Mjadara Unzazungumzwa Sana Pasi na Kuangaliwa na Kutazamwa Kwa Jicho la Ziada.

Suala la Idadi kubwa ya wachezaji wa Simba SC kuitwa kwenye Timu za Taifa.

Kiufupi iko hivi:
Dar es Salaam Young Africans SC Ina Idadi Kubwa ya wachezaji wanaotokea katika Mataifa yaliyopiga hatua kubwa sana kimpira ukilinganisha Simba SC. Idadi kubwa ya wachezaji ya kigeni walioko Simba SC wanatokea katika mataifa yasiyo juu katika viwango vya soka. Hali inayopelekea kupata nafasi katika timu zao kwa sababu ya kutokuwapo na ushindani wa namba na wachezaji wanao cheza nje ya Bara la Africa.

Jangwani:
Mabingwa wa Kihistoria wana wachezaji kutoka Mataifa tofauti manne (4) ambayo kati ya hayo manne ni matatu (3) tu ambayo ni mataifa yaliyoendelea kisoka na yana historia yao katika mpira wa kiafrika. Yanga wana mchezaji mmoja tu kutoka kwenye taifa lenye kiwango cha wastani Kimpira.
1. DR Congo - Wengine 9
2. Mali - Djigui Diarra
3. Burkina Faso - Yacouba Sogne
4. Uganda - Khalid Aucho

Hayo mataifa ambayo nimeyawekea rangi nyekundu ni mataifa Makubwa kimpira. Ukiingia na kuanza kufanya tathmini ya vikosi vyao utagundua wachezaji wengi wanatokea katika Ligi Maarufu barani Ulaya.

Je, ni mchezaji gani wa kigeni kutoka Simba SC ambaye angeweza kupata nafasi katika timu ya Taifa ya Congo, Mali au Burkinabe?

Yanga ina jumla ya wachezaji 11 ambao hawana uhakika na matarajio makubwa ya kuitwa kwenye mataifa yao Ukiachana na Khalid Aucho ambaye panga pangua ni lazima aanze kwenye kikosi cha timu ya taifa cha Uganda kutokana na ukweli kuwa hakuna mchezaji wa Calibre yake anayeweza kumfikia uwezo.

Msimbazi:
Simba SC ina wachezaji kutoka Mataifa tofauti manne (10) ambayo kati ya hayo manne ni matatu (5) tu ambayo ni mataifa yaliyoendelea kisoka na yana historia yao katika mpira wa kiafrika. Kati ya wachezaji 12 wa kigeni Simba SC wana wachezaji (6) tu kutoka kwenye mataifa yenye viwango cha wastani Kimpira.

Je katika mazingira kama haya Simba SC inashindwaje kupeleka wachezaji wengi wa kimataifa kwenye Timu zao za Taifa? Kumbuka kuwa Yanga SC ina mchezaji mmoja tu kutoka taifa lenye rank ya wastani kimpira wakati huo huo Simba ina wachezaji sita kutoka taifa lenye rank ya wastani kimpira.

1. Malawi -2
2. Zambia - 1
3. Rwanda - 1
4. Kenya - 1
5. Uganda - 1
6. DR Congo - 2
7. Ghana - 1
8. Ivory Coast - 1
9. Senegal - 1
10. Mali - 1

Je, Simba SC ingekuwa na wachezaji 11 kutoka mataifa ya Congo DR, Mali & Burkina Faso - ni wangapi wangepata kuitwa katika timu zao za Taifa?
 
Hivi Kama wewe ungekua Kocha wa Congo ungemwita Moloco ukawaacha Wachezaji wanacheza Belgium, France ama England!?

Kinachofanywa Morisson asiitwe Ghana, ni hicho hicho kina apply kwa DR CONGO.
 
Tuwapongeze tu kwenye hili. Hakuna sababu ya kukosa kila jambo zuri.

Simba sc wamejitahidi kwenye scouting yao so far. Wana wachezaji vijana ambao wanaitwa timu zao za taifa

Tazama kijana kama @docpeterbanda miaka 20 na anaitwa timu yao ya taifa, vile vile kwa Nyoni

@iamrallybwalya anapata nafasi ya kuitwa Zambia ambayo imesheheni vipaji vikubwa wanaocheza mpaka ligi kuu England. Zambia kidunia wapo nafasi ya 87

Ukija kwa Uganda, wapo nafasi ya 84duniani wakati sisi tupo nafasi ya 137 huko mbali mno lakini roho yao ya kiungo wa ulinzi inahitaji jasho na fujo za Lwanga

Guys, sio kirahisi kama kama ambavyo tunatype huku mtandaoni kukosoa na kukebehi

Tuwapongeze_tu_kwenye_hili._Hakuna_sababu_ya_kukosa_kila_jambo_zuri.%0A%0ASimba_sc_wamejitahid...jpg
 
Hahaha [emoji1787] Mataifa makubwa hata hayajawai kushinda Afcon,jivunie kilicho chako,swali timu yako ya Tanzania timu ipi imetoa wachezaji wengi?
Ronaldo De Lima wala sio mchezaji mkubwa duniani kuliko N'Golo Kante. Kwa sababu Ronaldo De Lima hajawahi kushinda UEFA Champions League.
 
1. Banda
2. Bwalya
3. Nyoni

Kama wangekuwa raia wa DRC au Mali au Burkina faso wangeitwa katika timu zao za Taifa?
 
Huyu Utopolo Amelia Sana Hapo juu Kwa Kilichotokea. ..! Hawatambui kuwa Yanga Imesajili...Majembe!
Mi Nauliza hiviii...Kwani Huko Yanga Wangapi Wa Kimataifa Wameitwa Kwenye Timu zao za Taifa ? Hujuma Za Karia Mapemaaaa...
UTO kama UTO tumetoa mchezaji mmoja tu kwenda Uganda The Crane - Khalid Aucho.

Hakuna mchezaji kutoka Ligi Kuu Tanzania ambaye amepata kucheza hapa Bongo angepata nafasi ya kucheza Timu ya Taifa ya DRC, Mali au Burkina Faso.
 
Lkn Simba ina mchezaj timu ya taifa DRC
Mechezaji gani wa Simba wa Kikongo ameitwa timu ya Taifa ya Kongo?
Orodha ya wachezaji walio itwa Kongo.
1. Mandanda Parfait
2. Kiassumbwa Joël
3. Mpasi Nzau Lionel
4. Lomboto Hervé
5. Ngonda Muzinga
6. Mbemba Chancel
7. Nathan Idumba
8. Zola Arsène
9. Kayembe Edo
10. Okita Jonathan
11. Muleka Jackson
12. Moutoussamy Samuel
13. Akolo Chadrac
14. Dieumerci Mbokani
15. Ben Malango
16. Cédric Bakambu
17. Samuel Bastien
1. Nsakala Fabrice
2. Luyidama Christian
3. Mukoko Amale
4. Ngoma Fabrice

Tusisahau hata Tonombe aliwahi kuitwa May 2021.
 
Back
Top Bottom