SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Fukuzeni kwanza huyo mkwepa kodi mbobevu hapo Jangwani.Sawa, ila mo aweke 20b yetu asitusahaulishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fukuzeni kwanza huyo mkwepa kodi mbobevu hapo Jangwani.Sawa, ila mo aweke 20b yetu asitusahaulishe.
Hivi Simba walishinda ngapi maanake sikufuatilia hiyo mechi.Kwa lile pira alilotembezewa na simba juzi wana haki ya kuachana nae, maana walisema wanajipima na simba kimataifa. Watamchukua mgunda sasa
Hiyo hela sio mchezo Mo hana hiyo hela bwana na ile biashara sio yake ni ya familia sasa watoe hiyo pesa kwa Simba ili wapate faida gani....!!Sawa, ila mo aweke 20b yetu asitusahaulishe.
Sasa yanga hajapiga shot hata mojaShouts on target 2
Sio mgunda awe mgunda isiwe Simba Simba ipo kitambo na hakufukuzwaSimba yamfukuzisha kazi Nabi ndicho kilipaswa kuwa kichwa cha habari, ule moto waliopelekewa jpili ilikuwa lazima hiki kitokee
Ingawa sasa timing ya kumfukuza imekuwa mbaya maana atarudi kwao na yanga mna mechi na timu ya kwao mtapigwa nyingi sana mkienda
Na jumatano na kmc ni kipigo cha kwanza wananchi watakipokea
Inasemekana yanga wameshinda MoroccoInasemekana leo baadhi ya viongozi wa Yanga wamehamasisha mashabiki wao kusimmama na kutoa heshima za mwisho kwa kocha Nabi wakati wa mechi yao na KMC hapo baadae leo
Hii mliishia wapi nayo ? Naona mwaka sasa ..View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke
Anaandika Jemedari Saidi
Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.
Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.
Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.
Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.
Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.
Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu
Credit: Bin Kazumari
Baadae huyu kocha akaja kua wa Thimba duh!..