Tetesi: Yanga Sc kuachana na Kocha Mkuu Nabi

Tetesi: Yanga Sc kuachana na Kocha Mkuu Nabi

Simba yamfukuzisha kazi Nabi ndicho kilipaswa kuwa kichwa cha habari, ule moto waliopelekewa jpili ilikuwa lazima hiki kitokee

Ingawa sasa timing ya kumfukuza imekuwa mbaya maana atarudi kwao na yanga mna mechi na timu ya kwao mtapigwa nyingi sana mkienda

Na jumatano na kmc ni kipigo cha kwanza wananchi watakipokea
Simba watushindwe afu KMC watufunge, vichwa vingine vimejaza ujinga mwingi
 
Professionally ulipaswa utoe Credit kwa Source ya hii Taarifa ambako ni katika Gazeti la Michezo la Mwanaspoti na siyo Kujifanya kama ni yako Mwenyewe umeitafuta ( umeichimba ) wakati hata Uwezo huo huna.

Povu rukhsa baada ya hii Sindano.
Tehtehteh kolo vs kolo
 
View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
Hujajifunza tu tangu Uzi wako wa Kibu D vs Mayele!
 
View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
Ila wewe jamaa una kila dalili za kua Mwijaku
 
View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
Jitathmini, ukiwa Mzee utakuwa mchawi.
 

Attachments

  • IMG-20221025-WA0005.jpg
    IMG-20221025-WA0005.jpg
    51.4 KB · Views: 4
Daah Yanga ishapotea sema Yanga walikosa maandalizi wao wana mechi za kimataifa wanaenda kucheza na kipanga sijui kifaru kigamboni...wachezaji wamenenepa balaa huyo Shaban Juma kanenepa hawezi kukimbia na huyo Kipa hivyo hivyo mipira anayoweza kudaka ni ile karibu yake hawezi kutoka kucheza mipira ua kona,Kona zote wanacheza mabeki Diara anachoweza ni kutoa pass za miguu vizuri na kuanzisha mashambulizi ila counter zote ni majanga kocha wamemlazimisha Kisinda arudi wakati walimsajiri Kambole ambae angesaidia Timu huyo Kisinda yeye anafikiria mbio tuu hata kama ni sehemu ya kutoa pass...juzi badala aanze Faridi Mussa kaanza Kisinda ambae hasaidii kukaba ambayo iliwafanya Simba waonekane kutawala kiungo muda mwingi huku Aucho akitumia kukaba kwa kufanya faulo maana alichoka sana kwa kufanya kazi mbili...
 
Utopolo fc bada ya kusikia Simba Ina. Mipango na kocha wa viper nao wamekimbilia issue..
 
sema huu uzi utaishi ni swala la muda kidogo tu sana siku za usoni.
 
Back
Top Bottom