Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mashabiki ya Simba yalishaitwa na Ismail Aden Rage kwamba ni mambumbumbu! Eti jitu linasimama Yanga walitembezewa mpira! Pambaff!uchawi sio lazima tunguli kwahio mechi iliisha ngapingapi???na fifa wanaandika atokeo ni 1 kwa 1 au wanaandikaje??kwamba 1 kwa 1 ila huyu alitembezewa pila????ndo yale unamfunga al ahly makundi alafu unajisifu wakati mwenzako anaenda kuchukua ubingwa