Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji wenu ndio kishasema jana kwenye press Conference ya mechi yenu na Azam.Halafu huyu nae kuongea hivi ndo kutaka Mgunda aonekane mbaya wamfukuze au? Maana Mgunda hajafungwa mpk sasa iwe utopolo au timu nyingine.
Anataka muongee anajua mtasahau kujiandaa na mechi yenu ijayo mtaanza kumjadili mgunda.Msemaji wenu ndio kishasema jana kwenye press Conference ya mechi yenu na Azam.
Kaongea ukweli mlikuwa mkiukataa, sisi tumeanza kujiandaa na waarabu tokea mechi iliyopita. Ile mechi ya Jpili hatuja ichukulia serious sababu tushamfunga mara nyingi.Anataka muongee anajua mtasahau kujiandaa na mechi yenu ijayo mtaanza kumjadili mgunda.
Mnajiandaa ili iweje sasa. Ili mpate ninisisi tumeanza kujiandaa na waarabu tokea mechi iliyopita.
Tupate shindi..........ila ile jumapili ilikuwa ni sawa na mwenyenyumba na mwembe wake wa uwani sema siku ile mwembe haukutoa maembe.Mnajiandaa ili iweje sasa. Ili mpate nini
Lile tumbo na lile jinsi analovaa kila siku limeifikisha simba makundi club bingwa unnbeten, hatua ambayo wewe na wezio utopolo munaitamani kuliko hata kula maninerrYanga ichukue lile tumbo ipeleke wapi
Za Aziz Ki zilikushinda. Tunachoweza kukuamini wewe ni salam tuSource mimi mwenyewe
Hiyo siyo sababu ya kumuondoa mwalimu.....hata angemtoa hilal bado kuna vigogo mia kidogo angewatoa wote?Nabi amethibitisha ubora wake unaishia mechi za ndani tu, kitendo cha kutolewa na Al Hilal nilijua kisingemuacha salama.
Ukiacha unazi Hua Unaandika sense, good observationKama hii tetesi ina ukweli basi Yanga haina uongozi.
Hersi ni mbabaishaji, huwezi kumtimua kocha aliyekupa ubingwa kwa mechi zaidi ya 40 bila kufungwa
Kama kumtimua kocha kumesababishwa na perfomance ya kimataifa basi nalo mnatakiwa mjitafakari sana.
Kwasababu wote mechi tuliangalia na kitu kilichoonekana ilikuwa ni uzembe wa wachezaji na sio Kocha.
Mayele alikuwa anacheza kwa faida yake na sio timu, kila mtu anataka aibuke worrior. Sasa hapo kosa la Nabi liko wapi?
kweli mkuu maana walizidiwa faulo, na kadi za njanoKwa lile pira alilotembezewa na simba juzi wana haki ya kuachana nae, maana walisema wanajipima na simba kimataifa. Watamchukua mgunda sasa
huu ni ukweli wa wazi, ikiwa kweli ntakuwa wa kwanza kushangilia tupigwe hata mechi 10 za awali ili raisi nae aonekane hafai maamuzi gani ya kibwege hayaKama hii tetesi ina ukweli basi Yanga haina uongozi.
Hersi ni mbabaishaji, huwezi kumtimua kocha aliyekupa ubingwa kwa mechi zaidi ya 40 bila kufungwa
Kama kumtimua kocha kumesababishwa na perfomance ya kimataifa basi nalo mnatakiwa mjitafakari sana.
Kwasababu wote mechi tuliangalia na kitu kilichoonekana ilikuwa ni uzembe wa wachezaji na sio Kocha.
Mayele alikuwa anacheza kwa faida yake na sio timu, kila mtu anataka aibuke worrior. Sasa hapo kosa la Nabi liko wapi?
Kosa la NABI ni kumpanga Mayele na sio Makambo. Mayele anaecheza kibinafsi sio Bora kuliko Makambo anaecheza kitimu. Sasa Kwa nini Mayele hakutolewa mapema ili aingie Makambo au yoyote. Hapo ndio kosa la kocha lilipo. Yeye kocha ndio huwa anaefanya selection ya wachezaji Kwa hiyo hakuna ' wachezaji kucheza kibinafsi' bila kocha kuwajibika.Kama hii tetesi ina ukweli basi Yanga haina uongozi.
Hersi ni mbabaishaji, huwezi kumtimua kocha aliyekupa ubingwa kwa mechi zaidi ya 40 bila kufungwa
Kama kumtimua kocha kumesababishwa na perfomance ya kimataifa basi nalo mnatakiwa mjitafakari sana.
Kwasababu wote mechi tuliangalia na kitu kilichoonekana ilikuwa ni uzembe wa wachezaji na sio Kocha.
Mayele alikuwa anacheza kwa faida yake na sio timu, kila mtu anataka aibuke worrior. Sasa hapo kosa la Nabi liko wapi?
Mliwezaje kumsajili pluijm kama kocha wenu wakat ana tumbo vile vileYanga ichukue lile tumbo ipeleke wapi
Mimi na wewe wote tunaelewa kuwa hakuna kiongozi yeyote pale Yanga anayeweza kufurahia maamuzi ya kocha ya kumuanzisha Makambo na kumuweka Mayele benchi.Kosa la NABI ni kumpanga Mayele na sio Makambo. Mayele anaecheza kibinafsi sio Bora kuliko Makambo anaecheza kitimu. Sasa Kwa nini Mayele hakutolewa mapema ili aingie Makambo au yoyote. Hapo ndio kosa la kocha lilipo. Yeye kocha ndio huwa anaefanya selection ya wachezaji Kwa hiyo hakuna ' wachezaji kucheza kibinafsi' bila kocha kuwajibika.
Anazungumzia fataki la Aziz kiUnazungumzia mada gani wewe Topolo?
Aliyekudanganya nani kuwa nabi kafukuzwa?Kwann wasingemfukuza baada ya kupasuliwa sudan?
inamaana mechi ya simba wanaikamia kuliko za kimataifa?