Yanga sc kumsajili Jonas Mkude ni matumizi mabaya ya fedha

Yanga sc kumsajili Jonas Mkude ni matumizi mabaya ya fedha

1688059563198.png
 
Hamis Thobias Gaga hakwenda Yanga kwa kuachwa na simba kwasababu ya kwamba hakuwa na kiwango cha kuchezea simba. Alienda kwa fitina za mpira wa hivi vilabu viwili. Alitoka simba akiwa anakiwasha sana yule jamaa .

Kama kama kama usemacho ni kweli tena kweli tupu, basi yule mzee wa Tabora ajengewe tu, kwasababu ana maono sana.
Kwanini nasema hivi?
Kwasababu, kuna mechi ya Yanga na Simba, Hamisi Gaga alikiwasha balaa washabiki wa Simba niliwaona kwa macho yangu haya mawili na kuwasikia kwa masikio yangu haya mawili,wakiwa wanawalaumu na sikulaumu tu, mpaka matusi juu kwa viongozi wao kwanini wamemuacha Gaga mpaka kupeleka kujiunga Yanga na hatimae kuwatesa.
Hapa maana yale fans/members wale hawakua wanajua chochote kilichotokea kuhusu Gaga na klabu yao.
 
NALIA NGWENA huwa sipendi kupepesa macho katika Jambo la ukweli.

Yanga Sc inaviungo wengi wakabaji na ninadhani kwa pale Yanga ndiyo eneo lenye viungo wengi.
Namba 6,8 Kuna Khalid Aucho, Sureboy, Zawadi Mauya,Yaniki bangala na Yahya Mudathir.

Jonas Mkude kwa asilia ni namba 6 ambapo kwa Yanga Kuna Mudathir, bangala, na nikitazama kiwango Cha Mkude sidhani Kama ataweza kumuweka benchi bangala au Mudathri hata Kama atawekwa namba 8 acheze bado naiona nafasi ya Sure boy mbele ya Jonas Mkude.

Kama hizi tetesi ni kweli Yanga watamsajili Jonas Mkude Basi ni matumizi mabaya ya fedha huo ni ukweli usiopingika.

Usajili wa Jonasi Mkude ni siasa ya mpira tu sidhani Kama ana umuhimu /uhitaji mkubwa katika kikosi Cha Yanga Sc.

Nawasilisha hoja.View attachment 2672790
Ushamba tu unakusumbua umeijua Yanga enzi za Mayele ndiyo maana.
 
Back
Top Bottom