Yanga SC, kwanini mnadanganya Saido ni injury? Mlipeni pesa za usajili

Tunaweza kuwasaidia watembeze bakuli tu [emoji1787]
 
Anatesekaje aise, na watu tumeona picha kali la trela, jamaa anafunga halafu linatoka nje kwa ghadhabu na mitusi juu ...
Angalia kwa siku anaanzisha thread ngapi zinazohusu Yanga ndio utajua anateseka kivipi,mikia mnafanya vzrklabu bingwa lkn bado hamjiamini kabisa 😂,hiyo yote sbb ya njia za panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…