GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popoma acha mambo ya kike. Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika hizi mada zako za kipuuzi?Kudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.
Atarudi hapa akiwa amehamaki kwa kila mchezaji na kila kiongozi wa timu yake 8/8 ni hapo tuu.Hii FURAHA yako inaenda kutamatika tarehe 8
Mbona unaandika huku unatetemeka? 😄😄Atarudi hapa akiwa amehamaki kwa kila mchezaji na kila kiongozi wa timu yake 8/8 ni hapo tuu.
Yanga sc, nasika kuna wachezaji wapya 8Atarudi hapa akiwa amehamaki kwa kila mchezaji na kila kiongozi wa timu yake 8/8 ni hapo tuu.
Kwani ni mwanaume huyo? Hivi kwanini watu wengi wanadhani ni mwanaume?Popoma acha mambo ya kike. Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika hizi mada zako za kipuuzi?
Duu! Ni kwa kuwa ana tabia za jike dume!Kwani ni mwanaume huyo? Hivi kwanini watu wengi wanadhani ni mwanaume?
Subiri utambulisho rasmi.Ni baadae kidogo tuu.Yanga sc, nasika kuna wachezaji wapya 8
Na ana anatabia ya kuikataa jinsia yake, anatamani angezaliwa dume hahahhaDuu! Ni kwa kuwa ana tabia za jike dume!
Safari hii wanamtoa Haji Manara hivi wanamlia timing tu. Nilikuwa najiuliza inakuwaje Yanga wamkumbatie hivi Haji Manara hata matusi yote yale aliyokuwa anawatukana kumbe wana mahesabu naye.Yanga Kwa Sasa wanaongoza Kwa kutoa kafara ya damu kulisha majini.Ile nyama Kuna vitu wanachanganya kuwalisha wananchi.Hilo jini litachoka damu ya ng'ombe litaitaji ya binadamu mjiandae kuwatoa kafara mashabiki wenu.
Wewe pia huwa unapata wapi Ujasiri wa Kukandwa hovyo wakati tayari unaye Mkandaji wako Tukuka?Popoma acha mambo ya kike. Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika hizi mada zako za kipuuzi?
Manura msaliti ametuumiza sana msimu uliopita.Kudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.
Juha huyu Mtoto wa Shule hawezi kulijua hili. Anadhani anaweza kufikia Level niliyonayo ya kujua mengi na ya ndani.Manura msaliti ametuumiza sana msimu uliopita.
Yanga hawakuishia kumtumia kwenye mechi yao tu bali waliendelea kumtumia hata kwenye mechi zingine kuuza mbinu za mchezo fal a yule.
Sasa yupo free wakamsajili.
Ile game mlifungwa kihalali,manula alikua na almost miezi 3 injury ile ndio ilikua game yake ya kwanza,Yanga walijuaje manula kama ataanza ile match hadi wampe pesa!mnakosea heshima manulaKudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.