Yanga SC mbona Kimya si tayari Simba SC tumeshawaachieni mliyekuwa mnamtumia Kutuumiza Kipa Aishi Manula, mtamtangaza lini Kumchukua awasaidieni?

Yanga SC mbona Kimya si tayari Simba SC tumeshawaachieni mliyekuwa mnamtumia Kutuumiza Kipa Aishi Manula, mtamtangaza lini Kumchukua awasaidieni?

Yanga Kwa Sasa wanaongoza Kwa kutoa kafara ya damu kulisha majini.Ile nyama Kuna vitu wanachanganya kuwalisha wananchi.Hilo jini litachoka damu ya ng'ombe litaitaji ya binadamu mjiandae kuwatoa kafara mashabiki wenu.
Safari hii wanamtoa Haji Manara hivi wanamlia timing tu. Nilikuwa najiuliza inakuwaje Yanga wamkumbatie hivi Haji Manara hata matusi yote yale aliyokuwa anawatukana kumbe wana mahesabu naye.
 
Popoma acha mambo ya kike. Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika hizi mada zako za kipuuzi?
Wewe pia huwa unapata wapi Ujasiri wa Kukandwa hovyo wakati tayari unaye Mkandaji wako Tukuka?
 
Kudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.
Manura msaliti ametuumiza sana msimu uliopita.

Yanga hawakuishia kumtumia kwenye mechi yao tu bali waliendelea kumtumia hata kwenye mechi zingine kuuza mbinu za mchezo fal a yule.

Sasa yupo free wakamsajili.
 
Manura msaliti ametuumiza sana msimu uliopita.

Yanga hawakuishia kumtumia kwenye mechi yao tu bali waliendelea kumtumia hata kwenye mechi zingine kuuza mbinu za mchezo fal a yule.

Sasa yupo free wakamsajili.
Juha huyu Mtoto wa Shule hawezi kulijua hili. Anadhani anaweza kufikia Level niliyonayo ya kujua mengi na ya ndani.
 
Kudadadeki unachezea Simba SC Wewe wakiamua lao. Si alikuwa anadhania tunatania? Kabipu Watu wamempigia.
Ile game mlifungwa kihalali,manula alikua na almost miezi 3 injury ile ndio ilikua game yake ya kwanza,Yanga walijuaje manula kama ataanza ile match hadi wampe pesa!mnakosea heshima manula
 
Back
Top Bottom