GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama uchawi ubgekuwa unacheza ilikuwaje Raja Casablanca wakawapiga goli 3 kwa sufuri kwa Mkapa?au kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
Punguza ushirikinaau kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
Tulisalitiana Wenyewe kwa Wenyewe.Kama uchawi ubgekuwa unacheza ilikuwaje Raja Casablanca wakawapiga goli 3 kwa sufuri kwa Mkapa?
Nauabudu.Punguza ushirikina
bahati mbaya siku hiyo mwenyekiti wao alijamba na alikatazwa kujambaKama uchawi ubgekuwa unacheza ilikuwaje Raja Casablanca wakawapiga goli 3 kwa sufuri kwa Mkapa?