Yanga SC mnatoa Saa ngapi Silaha zenu Chamazi ili nasi Simba SC tuweke zetu ili Power Dynamos FC akione cha Mtema Kuni

Yanga SC mnatoa Saa ngapi Silaha zenu Chamazi ili nasi Simba SC tuweke zetu ili Power Dynamos FC akione cha Mtema Kuni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
au kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
 
au kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
Kama uchawi ubgekuwa unacheza ilikuwaje Raja Casablanca wakawapiga goli 3 kwa sufuri kwa Mkapa?
 
au kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
Punguza ushirikina
 
UCHAWI UCHAWI UCHAWI?????

Uwe na wachezaji wazuri kama

1.Diara.( Mali)
2.Yao (Ghana)
3. Lomalisa.(Congo)
4. Jobu, Baka, mwamnyeto.
5. Gift fedy Aucho (Uganda
6.zoazoa, max , Azizi ki, Konkon, Musonda nk

Namaanisha UWE NA WACHEZAJI WAZURI HIVYO ALAFU BADO UTEGEMEE USHIRIKINA??????!??

SAJILI wachezaji wazuri ndio USHIRIKINA nambari Moja.
 
Back
Top Bottom