Nabi amefurushwa? Unazungumzia mwaka jana au mwaka huu? Mbona timu yake mimi kwenye mashindano? Ina maana leo huoni kama mbinu za kocha zilifeli? Kuna sub pale zilitakiwa zifanyikeMtaongea kila maneno lakini tatizo sio mbinu za kocha au wachezaji bali ni timu mnazo kutana nazo.
Kiufupi timu mnazo kutana nazo ni bora zaidi ya mlizo kutana nazo shirikisho.
Huyo Nabi unaye msema sijui mbuni zake zingesaidia amesha furushwa kwenye michuano hii kwenye hatua za awali ,tena akiwa na wachezaji wenye quality ya juu kuliko wa yanga.
Pitia hii comment niliyotoa J4.Baada ya mchezo wa leo, nilijiuliza kama kweli bado Yanga ina nafasi. Nimechambua scenarios kadhaa na kujiaminisha kuwa Yanga bado ina uwezo wa kwenda robo fainali iwapo itashinda michezo yote miwili ya nyumbani dhidi ya Medeama na CR Belouizdad, na kulazimisha sare ya ugenini dhidi ya Al Ahly. Matokeo hayo yataipa Yanga point 9 na kuweka ugumu sana kwa timu nyingine kufikisha idadi hiyo ya point.
View attachment 2837082
View attachment 2837083
Hivi unajua Simba akipata sare moja katika mechi mbili dhidi ya Wydad bado anakuwa na nafasi nzuri ya kufuzu wakati Yanga katika mechi mbili dhidi ya Medeama akitoka sare hata mechi moja nafasi yake ya kufuzu inakuwa finyu sana?
Mwaka jana walikuwa na bahati tu. Ila mwaka huu kazi wanayo yaani watakuwa nafasi ya 4 mpaka mechi 6 ziishe.Mtaongea kila maneno lakini tatizo sio mbinu za kocha au wachezaji bali ni timu mnazo kutana nazo.
Kiufupi timu mnazo kutana nazo ni bora zaidi ya mlizo kutana nazo shirikisho.
Huyo Nabi unaye msema sijui mbuni zake zingesaidia amesha furushwa kwenye michuano hii kwenye hatua za awali ,tena akiwa na wachezaji wenye quality ya juu kuliko wa yanga.
5G sio mchezo!!NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie
Hivi msimamo wa hilo kundi umeuonaMwaka Jana
Mwaka jana walikuwa na bahati tu. Ila mwaka huu kazi wanayo yaani watakuwa nafasi ya 4 mpaka mechi 6 ziishe.
Sijauona.Yanga ipo nafsi ya ngapi?Hivi msimamo wa hilo kundi umeuona
Mwisho wa simba cafcl ni leoNdg yangu, mpira hauchezwi mafichoni. Yanga wajipange mwakani ishaAllah
Umesahau! Nabi alikuwa na mayele wakati gamondi ana mzize ambae mpira hautulii mguuni anajigonga gonga tu!Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.
Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani
Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.
[emoji119] Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu
[emoji119]Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk
NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?
1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3
2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.
3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.
4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu
USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.
2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa
3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3
4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk
Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.
Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,
Karibuni kwa hoja, wadau
Kabisa mkuu, Yanga wameshatimiza lengo, haya mengine ni ziada tu.Uongozi ,team na kocha Kwa ujumla kashaambiwa lengo Ni makundi ,nyinyi mnapiga kelele mnataka kwenda wapi ..?
π€£ dah, bilashaka ulimaanisha Simba ScSuala la kwamba malengo yao kwa musimu huu yalikuwa ni kuingia hatua ya makundi ya CAFCL tu ni UONGO. Na huu umeibuliwa na Watopolo wenyewe baada ya kusoma upepo na kuona hawawezi kuingia pale Mwakarobo anapoishia kila Mwaka.
Kwa hiki kinachoendelea, yafaa sana Mwakarobo aheshimiwe kwa rekodi yake ya miaka kadhaa ndani ya CAFCL.
Simba yenyewe, inatakiwa ijitahidi ivune walau point 4 kwa Wydad then watabakisha mechi mbili ambazo watazocheza mwakani, timu itakuwa imeshazizoea mbinu mpya za CoachNajua huamini
Ila hakuna shabiki wa simba mwenye mawazo
Hata wachezaji pia
Makundi ni kitu cha kawaida sana kwetu ndo maana huoni nyuzi hizi za wanasimba πππ
Sisi hata tukitoa sare kesho there's still a big chance
Ila wewe sijui itakuaje
Tukutane kesho
Ndo maana nikasema sisi hata tukitoa sare leo sio tatizo saana kama yangaSimba yenyewe, inatakiwa ijitahidi ivune walau point 4 kwa Wydad then watabakisha mechi mbili ambazo watazocheza mwakani, timu itakuwa imeshazizoea mbinu mpya za Coach
Yanga na Simba kuna kitu kimoja huwa kina tutesa Sana kitu chenyewe hatuna namba 6 pureAsalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.
Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani
Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.
[emoji119] Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu
[emoji119]Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk
NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?
1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3
2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.
3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.
4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu
USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.
2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa
3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3
4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk
Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.
Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,
Karibuni kwa hoja, wadau
Sure, Tunahangaika kupata wachezaji.Yanga na Simba kuna kitu kimoja huwa kina tutesa Sana kitu chenyewe hatuna namba 6 pure
Kwa mfano yanga yup mauja Tu tena hapati nafasi
Simba hayupo kbs
Kama hajawahi kushinda kwenye makundi aliingiaje?NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie
Timu yako ya wastaafu imeshinda mechi ngapi kwenye kundi la vibonde? Tuanzie hapo kwanza kabla atujaenda kuijadili yanga iliyopo kwenye kundi la magiant mabingwa wa ligi zao!Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.
Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani
Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.
π Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu
πYanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk
NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?
1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3
2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.
3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.
4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu
USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.
2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa
3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3
4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk
Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.
Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,
Karibuni kwa hoja, wadau
Mavi yakijaa kichwani usababisha ugonjwa usiojulikana, kwaiyo yanga aliruka na kuingia makundi bila kushinda? Uko sawa sawa kichwani wewe?NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie