Yanga SC na Michuano ya CAFCL

Yanga SC na Michuano ya CAFCL

Mtaongea kila maneno lakini tatizo sio mbinu za kocha au wachezaji bali ni timu mnazo kutana nazo.
Kiufupi timu mnazo kutana nazo ni bora zaidi ya mlizo kutana nazo shirikisho.

Huyo Nabi unaye msema sijui mbuni zake zingesaidia amesha furushwa kwenye michuano hii kwenye hatua za awali ,tena akiwa na wachezaji wenye quality ya juu kuliko wa yanga.
Nabi amefurushwa? Unazungumzia mwaka jana au mwaka huu? Mbona timu yake mimi kwenye mashindano? Ina maana leo huoni kama mbinu za kocha zilifeli? Kuna sub pale zilitakiwa zifanyike
 
Baada ya mchezo wa leo, nilijiuliza kama kweli bado Yanga ina nafasi. Nimechambua scenarios kadhaa na kujiaminisha kuwa Yanga bado ina uwezo wa kwenda robo fainali iwapo itashinda michezo yote miwili ya nyumbani dhidi ya Medeama na CR Belouizdad, na kulazimisha sare ya ugenini dhidi ya Al Ahly. Matokeo hayo yataipa Yanga point 9 na kuweka ugumu sana kwa timu nyingine kufikisha idadi hiyo ya point.
View attachment 2837082
View attachment 2837083
Pitia hii comment niliyotoa J4.

Hii sare inaipa Yanga wakati mgumu sana na hii ni kwa sababu atakuwa anategemea point za kufuzu katika mechi za mwisho kutoka kwa timu ambazo zina uzoefu na sifa kumzidi yeye.

Hivi unajua Simba akipata sare moja katika mechi mbili dhidi ya Wydad bado anakuwa na nafasi nzuri ya kufuzu wakati Yanga katika mechi mbili dhidi ya Medeama akitoka sare hata mechi moja nafasi yake ya kufuzu inakuwa finyu sana?
 
Mwaka Jana
Mtaongea kila maneno lakini tatizo sio mbinu za kocha au wachezaji bali ni timu mnazo kutana nazo.
Kiufupi timu mnazo kutana nazo ni bora zaidi ya mlizo kutana nazo shirikisho.

Huyo Nabi unaye msema sijui mbuni zake zingesaidia amesha furushwa kwenye michuano hii kwenye hatua za awali ,tena akiwa na wachezaji wenye quality ya juu kuliko wa yanga.
Mwaka jana walikuwa na bahati tu. Ila mwaka huu kazi wanayo yaani watakuwa nafasi ya 4 mpaka mechi 6 ziishe.
 
NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie
5G sio mchezo!!
 
Kama al ahly ametoa sale na simba na sisi simba tumempiga 5 basi kosa kosa al ahly anakula 3 nje ndani
#Raha ya mwiko ilipokolea nyuma daima kurudi
 
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.

Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani

Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.

[emoji119] Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu

[emoji119]Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk

NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?

1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3

2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.

3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.

4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu

USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.

2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa

3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3

4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk

Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.

Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,

Karibuni kwa hoja, wadau
Umesahau! Nabi alikuwa na mayele wakati gamondi ana mzize ambae mpira hautulii mguuni anajigonga gonga tu!
 
Uongozi ,team na kocha Kwa ujumla kashaambiwa lengo Ni makundi ,nyinyi mnapiga kelele mnataka kwenda wapi ..?
Kabisa mkuu, Yanga wameshatimiza lengo, haya mengine ni ziada tu.
 
Suala la kwamba malengo yao kwa musimu huu yalikuwa ni kuingia hatua ya makundi ya CAFCL tu ni UONGO. Na huu umeibuliwa na Watopolo wenyewe baada ya kusoma upepo na kuona hawawezi kuingia pale Mwakarobo anapoishia kila Mwaka.

Kwa hiki kinachoendelea, yafaa sana Mwakarobo aheshimiwe kwa rekodi yake ya miaka kadhaa ndani ya CAFCL.
🤣 dah, bilashaka ulimaanisha Simba Sc
 
Najua huamini

Ila hakuna shabiki wa simba mwenye mawazo

Hata wachezaji pia

Makundi ni kitu cha kawaida sana kwetu ndo maana huoni nyuzi hizi za wanasimba 😀😀😃

Sisi hata tukitoa sare kesho there's still a big chance
Ila wewe sijui itakuaje

Tukutane kesho
Simba yenyewe, inatakiwa ijitahidi ivune walau point 4 kwa Wydad then watabakisha mechi mbili ambazo watazocheza mwakani, timu itakuwa imeshazizoea mbinu mpya za Coach
 
Simba yenyewe, inatakiwa ijitahidi ivune walau point 4 kwa Wydad then watabakisha mechi mbili ambazo watazocheza mwakani, timu itakuwa imeshazizoea mbinu mpya za Coach
Ndo maana nikasema sisi hata tukitoa sare leo sio tatizo saana kama yanga
 
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.

Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani

Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.

[emoji119] Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu

[emoji119]Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk

NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?

1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3

2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.

3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.

4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu

USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.

2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa

3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3

4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk

Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.

Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,

Karibuni kwa hoja, wadau
Yanga na Simba kuna kitu kimoja huwa kina tutesa Sana kitu chenyewe hatuna namba 6 pure

Kwa mfano yanga yup mauja Tu tena hapati nafasi

Simba hayupo kbs
 
Yanga na Simba kuna kitu kimoja huwa kina tutesa Sana kitu chenyewe hatuna namba 6 pure

Kwa mfano yanga yup mauja Tu tena hapati nafasi

Simba hayupo kbs
Sure, Tunahangaika kupata wachezaji.
Lakini wachezaji wapo, kuna jamaa sijui anaitwa BABA wa Medeama Jana alicheza kiungo baadae akarudi beki 4. Yule n mtu sana
 
NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie
Kama hajawahi kushinda kwenye makundi aliingiaje?
 
Watu wanateseka sana, yaani miaka yote turingie kufika robo!!!! Yaani kama umeweza kufika robo kwa nini ushindwe kufika nusu na baadaye Fainali.

Kama Yanga wataishia makundi safari hii na mwakani wakaishia makundi tena, watastahili lawama zote.

Kwangu mimi timu ya simba inastahili kutuonyesha njia kufika nusu Fainali mpaka Fainali safari hii. Ikishindwa tena, maana yake ni moja tu. Timu mbovu isiyo na mwendelezo.
 
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.

Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani

Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.

🙌 Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu

🙌Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk

NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?

1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3

2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.

3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.

4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu

USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.

2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa

3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3

4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk

Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.

Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,

Karibuni kwa hoja, wadau
Timu yako ya wastaafu imeshinda mechi ngapi kwenye kundi la vibonde? Tuanzie hapo kwanza kabla atujaenda kuijadili yanga iliyopo kwenye kundi la magiant mabingwa wa ligi zao!
 
NI ujinga sana kuwasifia Yanga. Timu gani tokea Mwaka 1998 haijawahi kufika hatua ya makundi. Mbaya zaidi YANGA HAIJAWAHI KUSHINDA MECHI YOYOTE KWENYE CAF CHAMPIONS LEAGUE. Aibu kubwa sana hii halafu unakuta jinga fulani kichwa kimejaa makamasi Ooooh Makolo ooooh Mwakalobo shwaaaaaain kabisa.
Shinda hata mechi moja uonyeshe japo unaweza sasas pimbi nyie
Mavi yakijaa kichwani usababisha ugonjwa usiojulikana, kwaiyo yanga aliruka na kuingia makundi bila kushinda? Uko sawa sawa kichwani wewe?
 
Back
Top Bottom