Kakolanya mwenyewe si mzuri kivileHuyu Kindoki sijamuelewa
Yaap na ndio tunauona uwezo wake mkuuNdio walisema wamesajili golikipa wa TP Mazembe?
Zikiongezwa dk 10 Yanga mnalalaHamna kipa yanga
Hahahahaaaa tupo pamoja mkuuWewe wa simba mkuu
Bora uwakumbushe mkuuTukumbuke tu mechi ya tarehe 30 itachezwa uwanja wa Taifa, sio Nangwanda Sijaona
Pahala penyewe ni goliniDaaa kunatatizo pahala
Kipa huyu mechi ya Simba msimpange atapigwa 5Daaa kunatatizo pahala
Kabisa mkuuAise Stand wazuri, wangeongeza 6 minutes Ndala wangelala!
Itakuwa zaidi...kimsingi hakuna hatari iliyoelekezwa golini akaiokoaKipa huyu mechi ya Simba msimpange atapigwa 5
Wao wanadhani Simba itacheza kama ilivyocheza NangwandaKipa huyu mechi ya Simba msimpange atapigwa 5