Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Huu ndio ukameme ambao Mzee Magoma alikuwa akiukemea ila kwasababu tu mashabiki wa Gongowazi ni rotted brain hawakuweza ku decode alicho maanisha.

Club ambayo inapanda thamani kila msimu, unathubutuje kuingia mikataba ya miaka mingi?

Yani hapo ni sawa na kusema thamani ya sasa ya Yanga itakuwa ni ya hivyo hivyo kwa miaka yote mitano.
Mmesahau nyie miaka yenu mitano ya machozi, jasho na damu na M-Bet
 
Mzee Magoma AnawA~Zoom Anasema Hii Bhaghosha
Apewe Team Yake Haraka Sana
 
Bilioni 1 kwa miaka 5, kwa mwaka ni milioni 200 🤔🤔
Kila siku 529,000 na zaidi kidogo zinatosha sana si haba kwa matumizi ya kila siku hata kulipia mishahara kwa baadhi ya wafanyakazi ama kwa matumizi ya kila siku
 
Nilifikiri labda brand ya Yanga ni expensive sana kumbe bado wanaingia mikataba ya $80,000 kwa msimu na makampuni?

Kwa yanga walipofika hiyo 1 billion ilipaswa iwe ni mkataba wa msimu mmoja tu.
Sign ya mchazaji hiyo tosha kabisa
 
Huu ndio ukameme ambao Mzee Magoma alikuwa akiukemea ila kwasababu tu mashabiki wa Gongowazi ni rotted brain hawakuweza ku decode alicho maanisha.

Club ambayo inapanda thamani kila msimu, unathubutuje kuingia mikataba ya miaka mingi?

Yani hapo ni sawa na kusema thamani ya sasa ya Yanga itakuwa ni ya hivyo hivyo kwa miaka yote mitano.
Nyie mmeuza billion 20 milele huoni kundulo
 
Kwa niaba ya GSM Group tunayo furaha ya kutangaza rasmi kuwa tumepanua wigo wa mahusiano yetu na klabu ya Yanga SC.

Tunatangaza rasmi kuwa kampuni mpya ya vinywaji ya GSM imeingia mkataba wa miaka mitano na klabu ya Yanga SC, na mkataba huu una thamani ya Tsh bilion 1” Benson Mahenya CEO wa GSM Group.

=========

View attachment 3056883
12 per Yr miaka 5
12 x5= 60 months
1'000'000'000/60
Kwa mwezi
16'666'666.666667
Mns mil 16 kwa mwezi...napitatu
 
Hata Azam tv alitoa billion 30 Kwa miaka 10 kupata kibali cha kuonyesha ligi ya Bongo,
Mikataba ya Azam ni kijambazi sana
uongoooo....
azam anatoa 22+ kwa mwaka, ni mkataba wa miaka 10!

uwe unatofautisha!
angetoa bil 30 kwa miaka 10 ina maana ni bil 3 kila mwaka?
 
Sahihi kabisa, kwangu naona milioni 200 ni ndogo kwa mwaka.
Nakumbuka Mbeya City kuna mwaka waliingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya betting ya PARIMATCH ambapo walilipwa 180m.

Sasa hebu angalia hiyo ilikuwa ni Mbeya city timu yenye fanbase ndogo sana kulinganisha na Yanga na ni miaka takribani 4 au 3 huko nyuma walivuna hiyo hela.

Sasa leo Yanga licha ya kukuza brand mpaka nje ya mipaka ya nchi halafu wanakuja kukubali ku endorse kampuni kwa hela ya yanya kiasi hicho??

Yaani Yanga kwa level ilipofikia haitakiwi kupokea endorsement deals zenye thamani chini ya $1m kwa msimu.

Watafute watu sahihi ambao ni wataalamu wa marketing.
 
Huu ndio ukameme ambao Mzee Magoma alikuwa akiukemea ila kwasababu tu mashabiki wa Gongowazi ni rotted brain hawakuweza ku decode alicho maanisha.

Club ambayo inapanda thamani kila msimu, unathubutuje kuingia mikataba ya miaka mingi?

Yani hapo ni sawa na kusema thamani ya sasa ya Yanga itakuwa ni ya hivyo hivyo kwa miaka yote mitano.
UMEUSOMA AU KUUPITIA MKATABA MKUU?
 
Back
Top Bottom