Yanga SC Yapanda Namba 9 Viwango Vya Klabu Bora Afrika

Yanga SC Yapanda Namba 9 Viwango Vya Klabu Bora Afrika

Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)

Link:- (IFFHS)

Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.

Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.

Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
Ikitokea hii taarifa ikawa ni ya kweli, basi kuna watu watanuna sana. Maana siku zote waliishi kwa majivuno kupitia takwimu za aina hii.
 
Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)

Link:- (IFFHS)

Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.

Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.

Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
 
Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
Kweli mfa maji haachi kutapatapa.
 
Mi Wala sishangai takwimu zilizopita Simba na yanga zilizidi man u Hawa (IFFHS) Takwimu zao wanazojua wenyewe
 
Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
Aahaaaaaa
 
Aahaaaaaa
Maana wao kila hatua ya Yanga wanasema hakuna kitu.
Ikija ushiriki wa kombe la Shirikisho wanadai eti la enzi zao mdiyo lilikua na timu ngumu siyo la sasa.
Hawajui kuwa wao waliziona zile timu ni ngumu sababu walikua ndiyo vibonde katika timu zile
 
Back
Top Bottom