Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aahaaaa
Hiyo Wikipedia ni ya mwezi upi na upi!l?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahaaaa
Na wewe umejionyesha ulivyo kiande tunisia wana ligi ina makundi A na BKomesha. Ametoka nduki.
Huna akili kama asemavyo manaraBwana weee LIGI ni jina tu.
Umeona wapi ligikuu ya Tanzania ina mechi za nusu fainali?
Leo mmewakubali IFFHS? Miki akiposti hizi rank za misimu uliopita mlikuwa mnamtukana sasa zinafaida kwenu aliewaita nyie ni manyani na mabwa hakukoseaLeo mmewageuka IFFHS?
Unajua mkuu una heshima yangu kubwa tu halafu wewe unaleta masikhara!
Timu kubwa hushiriki mashindano makubwa sio yale ya maluzaKichaka chenu kipya
Aahaaaaa
Hajui kwamba kwwnye Wikipendi mtu yeyote aki log in anaweza fanya mabadiliko anavyopenda!Aahaaaa
Hiyo Wikipedia ni ya mwezi upi na upi!l?
Leo nawaunga mkono asilimia Mia[emoji1666]Leo mmewakubali IFFHS? Miki akiposti hizi rank za misimu uliopita mlikuwa mnamtukana sasa zinafaida kwenu aliewaita nyie ni manyani na mabwa hakukosea
Timu yako ipo kwenye mashindano yapi?Timu kubwa hushiriki mashindano makubwa sio yale ya maluza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hajui kwamba kwwnye Wikipendi mtu yeyote aki log in anaweza fanya mabadiliko anavyopenda!
Ikitokea hii taarifa ikawa ni ya kweli, basi kuna watu watanuna sana. Maana siku zote waliishi kwa majivuno kupitia takwimu za aina hii.Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)
Link:- (IFFHS)
Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.
Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.
Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
It's confirmedIkitokea hii taarifa ikawa ni ya kweli, basi kuna watu watanuna sana. Maana siku zote waliishi kwa majivuno kupitia takwimu za aina hii.
Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)
Link:- (IFFHS)
Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.
Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.
Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
Kweli mfa maji haachi kutapatapa.Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
AahaaaaaaSawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
Maana wao kila hatua ya Yanga wanasema hakuna kitu.Aahaaaaaa
CAF SUPER LEAGUETimu yako ipo kwenye mashindano yapi?