Yanga SC yapokea kichapo cha mbwa koko kutoka Kagera Sugar

Ila hawa wakata miwa hawafai.Kule kwenye kombe la kuku alikuwepo Mtibwa Sugar, huku kwenye kombe la maana lenye medali + mkwanja kuna Kagera Sugar.

Asanteni sana kwa kunikumbusha wimbo wa Wanaume Halisi ya Sir Juma Nature wa "TATU BILA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…