jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,847
yaani hawa wachovu ndio walipata draw na Simba ya 2_2, hakika walibahatisha ndio maana wakashangilia kama walishinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Molinga ni tajiri?Mbona Molinga alisusa baada ya kufanyiwa Sub? Uzuri wa Yanga utoke wapi sema ubovu wa Yanga[emoji23][emoji23]
Ama kweli kuimba kupokezana Mtani.
Tumeyapokea.
Ndugu yangu nakusalimia halafu nakupa pole tuHaya bana Mtani.
Aisee KumbeHawakwenda na matokeo..Hawa walilala na matokeo kwenye godoro la GSM[emoji23][emoji23]
Halafu kweli mpk mpira uishe ndo utawaona!Yanga siku yao ya mechi hawaanzishi thread kabla ya mechi wala hawachangii wengi.
Yaani wanasusa kabisa.
Nawapa Pole.
Wasiwe na matokeo mfukoni kabla ya mechi.
Mpira ni dakika 90.
[emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza yanga mbovu na chuma chakavuMpk saa hii ni dakika ya 70! Kagera wako mbele Kwa bao 2.
Watani zangu mpira hauna mwenyeji! Ligi kuu inaendelea kunoga!
FT: Yanga Kala miguu ya bajaji Aina ya TVS
Yanga 0-3 Kagera suger!
Sent using Jamii Forums mobile app