Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)

Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)

Mwaka 2000 alichukua yanga.
We mbona mbishi sana ndio tatizo la watoto mliozaliwa miaka ya 2000s Mtibwa alikuwa Bingwa back to back 1999 and 2000 nashangaa unavyosema Yanga kabeba huo mwaka ndio nika conclude wewe ni mtoto wa miaka ya 2000s
 
Aisee nimeenda kuangalia kwenye documents za Tanzania Premier League nao wanasema Simba na Yanga wamelingana 22 championships each. Sijaelewa hi taarifa ya Yanga kushinda Mara 27 imetoka wapi?.
 
Aisee nimeenda kuangalia kwenye documents za Tanzania Premier League nao wanasema Simba na Yanga wamelingana 22 championships each. Sijaelewa hi taarifa ya Yanga kushinda Mara 27 imetoka wapi?.
Zipo wapi hizo documents? au ndio zile stori za kwenye vijiwe vya kahawa za kusogeza muda.
 
Miaka ya hivi karibuni dhana ya utani wa jadi kati ya Simba na Yanga inapotea kwa kasi na kuibuka kwa chuki nauhasama wa wazi wazi, ukipitia threads nyingi humu kuhusu hizi timu mbili nyingi ni za kutokana, kukejeli, kudharau na kuchukia timu nyingine sijui tatizo ni nini?!
Wikipedia hata mtu asie na account kule anaweza kuingia na kuedit taarifa na kuzipublish zikaonekana vile itakavyompendeza yeye so sio chanzo cha uhakika cha taarifa, anyways mleta mada aende ofisi za FAT/ TFF au BMT atapewa taarifa sahihi badala ya kuleta upotoshaji huku mitandaoni, otherwise ni km lengo ni watu kubishana na kujua nani mbishi mzuri basi ni mada nzuri sana, tuendelee kubishana
 
Miaka ya hivi karibuni dhana ya utani wa jadi kati ya Simba na Yanga inapotea kwa kasi na kuibuka kwa chuki nauhasama wa wazi wazi, ukipitia threads nyingi humu kuhusu hizi timu mbili nyingi ni za kutokana, kukejeli, kudharau na kuchukia timu nyingine sijui tatizo ni nini?!
Wikipedia hata mtu asie na account kule anaweza kuingia na kuedit taarifa na kuzipublish zikaonekana vile itakavyompendeza yeye so sio chanzo cha uhakika cha taarifa, anyways mleta mada aende ofisi za FAT/ TFF au BMT atapewa taarifa sahihi badala ya kuleta upotoshaji huku mitandaoni, otherwise ni km lengo ni watu kubishana na kujua nani mbishi mzuri basi ni mada nzuri sana, tuendelee kubishana

Mbona Tanzania Premier League wanasema Simba na Yanga wanashare ubingwa 22 kwa 22
 
Ukiingia kwenye wikipedia utaona taarifa hiyo hapo chini (au google). ikionyesha yanga imeshinda mara 27 lakini ukihesabu kwa umakini miaka kama inavyoonyesha hapo utaona imechukua mara 22 tu. Sasa cjui kuna tatizo gani hapa na cjui tuelewe lipi!! Champions (27): 1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2005, 2006, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016–17.
 
Ukiingia kwenye wikipedia utaona taarifa hiyo hapo chini (au google). ikionyesha yanga imeshinda mara 27 lakini ukihesabu kwa umakini miaka kama inavyoonyesha hapo utaona imechukua mara 22 tu. Sasa cjui kuna tatizo gani hapa na cjui tuelewe lipi!! Champions (27): 1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2005, 2006, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016–17.
Basi mashabiki wa Simba wabaki kujua makombe ya Yanga 22 na wa Yanga wabaki wakijua timu yao ina makombe 27,hakuna kesi hapo
 
Leo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa kuelewa yanga anajiita bingwa wa kihistoria kwa kigezo kipi!?

RECORD HII HAPA

Dar es Salaam League
1944- Sunderland (Dar es Salaam)
1945 not known
1946 - Sunderland (Dar es Salaam)
1947-63 not known
1964 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
national (mainland) league
1965 - Sunderland (Dar es Salaam)
1966 - Sunderland (Dar es Salaam)
1967 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 - Young Africans (Dar es Salaam)
1969 - Young Africans (Dar es Salaam)
1970 - Young Africans (Dar es Salaam)
1971 - Young Africans (Dar es Salaam)
1972 - Young Africans (Dar es Salaam)
1973 - Simba (Dar es Salaam)
1974 - Young Africans (Dar es Salaam)
1975 - Mseto Sports (Morogoro)
1976 - Simba (Dar es Salaam)
1977 - Simba (Dar es Salaam)
1978 - Simba (Dar es Salaam)
1979 - Simba (Dar es Salaam)
1980 - Simba (Dar es Salaam)
1981 - Young Africans (Dar es Salaam)
1982 - Pan African (Dar es Salaam)
1983 - Young Africans (Dar es Salaam)
1984 - KMKM (Zanzibar)
1985 - Tukuyu Stars(Rungwe)
1986 - Maji Maji (Songea)
1987 - Young Africans (Dar es Salaam)
1988 - African Sports (Tanga)
1989 - Malindi
1990 - Pamba (Shinyanga)
1991 - Young Africans (Dar es Salaam)
1992 - Malindi
1993 - Simba (Dar es Salaam)
1994 - Simba (Dar es Salaam)
1995 - Simba (Dar es Salaam)
1996 - Young Africans (Dar es Salaam)
1997 - Young Africans (Dar es Salaam)
1998 - Maji Maji (Songea)
1999 - Prisons (Mbeya)
2000 - Young Africans (Dar es Salaam)
2001 - Simba (Dar es Salaam)
2002 - Simba (Dar es Salaam)
2003 - not awarded (*)
Tanzania Mainland (Tanzania Bara)
2004 - Simba (Dar es Salaam)
2005 - Young Africans (Dar es Salaam)
2006 - Young Africans (Dar es Salaam)
2007 - Simba (Dar es Salaam) [mini-league]
2008 - Young Africans (Dar es Salaam)
2009 - Young Africans (Dar es Salaam)
2010 - Simba (Dar es Salaam)
2011 - Young Africans (Dar es Salaam)
2012 - Simba (Dar es Salaam)
2013 - Young Africans (Dar es Salaam)
2014 - Azam FC (Dar es Salaam)
2015 - Young Africans (Dar es Salaam)
2016 - Young Africans (Dar es Salaam)
2017 - Young Africans (Dar es Salaam)
2018 - Simba (Dar es Salaam)
2019 - Simba (Dar es Salaam)
2020 - Simba (Dar es Salaam)
2021 - Simba (Dar es Salaam)
2022 -
Unachanganya Ligi ya Dar, Tanganyika/Bara na Muungano.
 
Back
Top Bottom