computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
We mbona mbishi sana ndio tatizo la watoto mliozaliwa miaka ya 2000s Mtibwa alikuwa Bingwa back to back 1999 and 2000 nashangaa unavyosema Yanga kabeba huo mwaka ndio nika conclude wewe ni mtoto wa miaka ya 2000sMwaka 2000 alichukua yanga.
Costal union walichukua 88 ubingwa wa barMwaka 2000 alichukua yanga.
Mkuu hizo takwimu zina uwalakini mbona cjaona chama langu Tukuyu stars!!
Zipo wapi hizo documents? au ndio zile stori za kwenye vijiwe vya kahawa za kusogeza muda.Aisee nimeenda kuangalia kwenye documents za Tanzania Premier League nao wanasema Simba na Yanga wamelingana 22 championships each. Sijaelewa hi taarifa ya Yanga kushinda Mara 27 imetoka wapi?.
Source?Ushahidi mwingine huu hapaView attachment 2082253
Zipo wapi hizo documents? au ndio zile stori za kwenye vijiwe vya kahawa za kusogeza muda.
[/QUOTE
Nenda Google andika Tanzania Premier League
Miaka ya hivi karibuni dhana ya utani wa jadi kati ya Simba na Yanga inapotea kwa kasi na kuibuka kwa chuki nauhasama wa wazi wazi, ukipitia threads nyingi humu kuhusu hizi timu mbili nyingi ni za kutokana, kukejeli, kudharau na kuchukia timu nyingine sijui tatizo ni nini?!
Wikipedia hata mtu asie na account kule anaweza kuingia na kuedit taarifa na kuzipublish zikaonekana vile itakavyompendeza yeye so sio chanzo cha uhakika cha taarifa, anyways mleta mada aende ofisi za FAT/ TFF au BMT atapewa taarifa sahihi badala ya kuleta upotoshaji huku mitandaoni, otherwise ni km lengo ni watu kubishana na kujua nani mbishi mzuri basi ni mada nzuri sana, tuendelee kubishana
Kama hujui Tukuyu Stars iliwahi kuwa bolingwa wa TPL huu Uzi Una uhalali gani?Tukuyu star ilichukua kombe mwaka gani!?
Basi mashabiki wa Simba wabaki kujua makombe ya Yanga 22 na wa Yanga wabaki wakijua timu yao ina makombe 27,hakuna kesi hapoUkiingia kwenye wikipedia utaona taarifa hiyo hapo chini (au google). ikionyesha yanga imeshinda mara 27 lakini ukihesabu kwa umakini miaka kama inavyoonyesha hapo utaona imechukua mara 22 tu. Sasa cjui kuna tatizo gani hapa na cjui tuelewe lipi!! Champions (27): 1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2005, 2006, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016–17.
Una tuletea takwimu za Wikipedia sisi hapa. web ambayo ata mwenda wazimu ana weza kwenda ku edite aka ongezeko nondo zakeHuu hapa ubingwa wa Yanga Tanzania Premier
View attachment 2082155
Huu hapa ubingwa wa simba Tanzania premier
View attachment 2082156
Data zako za kubumba hizo peleka huko wanakobumba data.1986 inaonekana hapo Majimaji ndio ilichukua ndoo.
Hiyo link mbona haina kitu? Halafu website hiyo imefungiwa.
Unachanganya Ligi ya Dar, Tanganyika/Bara na Muungano.Leo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa kuelewa yanga anajiita bingwa wa kihistoria kwa kigezo kipi!?
RECORD HII HAPA
Dar es Salaam League
1944- Sunderland (Dar es Salaam)
1945 not known
1946 - Sunderland (Dar es Salaam)
1947-63 not known
1964 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
national (mainland) league
1965 - Sunderland (Dar es Salaam)
1966 - Sunderland (Dar es Salaam)
1967 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 - Young Africans (Dar es Salaam)
1969 - Young Africans (Dar es Salaam)
1970 - Young Africans (Dar es Salaam)
1971 - Young Africans (Dar es Salaam)
1972 - Young Africans (Dar es Salaam)
1973 - Simba (Dar es Salaam)
1974 - Young Africans (Dar es Salaam)
1975 - Mseto Sports (Morogoro)
1976 - Simba (Dar es Salaam)
1977 - Simba (Dar es Salaam)
1978 - Simba (Dar es Salaam)
1979 - Simba (Dar es Salaam)
1980 - Simba (Dar es Salaam)
1981 - Young Africans (Dar es Salaam)
1982 - Pan African (Dar es Salaam)
1983 - Young Africans (Dar es Salaam)
1984 - KMKM (Zanzibar)
1985 - Tukuyu Stars(Rungwe)
1986 - Maji Maji (Songea)
1987 - Young Africans (Dar es Salaam)
1988 - African Sports (Tanga)
1989 - Malindi
1990 - Pamba (Shinyanga)
1991 - Young Africans (Dar es Salaam)
1992 - Malindi
1993 - Simba (Dar es Salaam)
1994 - Simba (Dar es Salaam)
1995 - Simba (Dar es Salaam)
1996 - Young Africans (Dar es Salaam)
1997 - Young Africans (Dar es Salaam)
1998 - Maji Maji (Songea)
1999 - Prisons (Mbeya)
2000 - Young Africans (Dar es Salaam)
2001 - Simba (Dar es Salaam)
2002 - Simba (Dar es Salaam)
2003 - not awarded (*)
Tanzania Mainland (Tanzania Bara)
2004 - Simba (Dar es Salaam)
2005 - Young Africans (Dar es Salaam)
2006 - Young Africans (Dar es Salaam)
2007 - Simba (Dar es Salaam) [mini-league]
2008 - Young Africans (Dar es Salaam)
2009 - Young Africans (Dar es Salaam)
2010 - Simba (Dar es Salaam)
2011 - Young Africans (Dar es Salaam)
2012 - Simba (Dar es Salaam)
2013 - Young Africans (Dar es Salaam)
2014 - Azam FC (Dar es Salaam)
2015 - Young Africans (Dar es Salaam)
2016 - Young Africans (Dar es Salaam)
2017 - Young Africans (Dar es Salaam)
2018 - Simba (Dar es Salaam)
2019 - Simba (Dar es Salaam)
2020 - Simba (Dar es Salaam)
2021 - Simba (Dar es Salaam)
2022 -
Ina maana apeleke Lumumba!!!Data zako za kubumba hizo peleka huko wanakobumba data.